Not registered on network

Not registered on network

Akiweka imei number original ya simu yako haina shida. Sabab imei ya simu yako hakuna mtu mwingine mwenye nayo. Shida ni sasahivi hapo simu yako ina imei number ya mtu/simu nyingine

Nikicheki imei status baada ya kubonyeza *#0011#
Imei status ina onyesha NG
 
IMG_0001.JPG
 
Amani iwe nanyi

Nina simu yangu Samsung galaxy A20 Ina tatizo tajwa hapo juu
Kuna jamaa nilimpelekea Kkoo anitatulie tatizo aliniweka town kutwa nzima jioni kanipa simu ipo fresh but baada ya siku tatu tatizo limejirudia tena!
Msaada jamani maana kwenda kushinda kutwa nzima tena kwa yule jamaa hell no......


Natanguliza shukrani
Umenunua ikiwa mpya?
 
Amani iwe nanyi

Nina simu yangu Samsung galaxy A20 Ina tatizo tajwa hapo juu
Kuna jamaa nilimpelekea Kkoo anitatulie tatizo aliniweka town kutwa nzima jioni kanipa simu ipo fresh but baada ya siku tatu tatizo limejirudia tena!
Msaada jamani maana kwenda kushinda kutwa nzima tena kwa yule jamaa hell no......


Natanguliza shukrani
Ndugu kwa samsung hiyo ni kawaida mi kila siku inanitoka...solution ni nenda sehemu ya setting,ingia sim card setting washa data afu chagua mtandao mfano mimi tigo iweke 4G option mtandao utarudi na data itasoma 4G pia
 

Attachments

  • Screenshot_20200712-105826.png
    Screenshot_20200712-105826.png
    19.9 KB · Views: 15
  • Screenshot_20200712-105915.png
    Screenshot_20200712-105915.png
    18.3 KB · Views: 15
Ndugu kwa samsung hiyo ni kawaida mi kila siku inanitoka...solution ni nenda sehemu ya setting,ingia sim card setting washa data afu chagua mtandao mfano mimi tigo iweke 4G option mtandao utarudi na data itasoma 4G pia fanya hivyo kwa laini nyingine

Yote nimefanya hayo but bila bila boss wangu
 
Back
Top Bottom