Not registered on network

Not registered on network

Naipataje?
Download Frija tool na Odin kwenye PC.

Open frija tool. Ingiza SM A205FN kwenye sehem ya model na ingiza AFR kwenye sehem ya CSC code. Itacheck kwenye net mafile latest ya hyo model then uta download. (Inakuaga 2GB to 4GB).
Ukishadownload hlo file, extract then tumia hii video kujua jinsi ya kuflash file kwa kitumia Odin:
 
Amani iwe nanyi

Nina simu yangu Samsung galaxy A20 Ina tatizo tajwa hapo juu. Kuna jamaa nilimpelekea Kariakoo anitatulie tatizo aliniweka town kutwa nzima jioni kanipa simu ipo fresh but baada ya siku tatu tatizo limejirudia tena!

Msaada jamani maana kwenda kushinda kutwa nzima tena kwa yule jamaa hell no.

Natanguliza shukrani
Bonyeza *#0011# chagua sim 1 au 2 leta screen shot tuendelee na msaada.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Bonyeza *#0011# chagua sim 1 au 2 leta screen shot tuendelee na msaada.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app

IMG_0001.JPG
 
Hii simu haijapewa toleo la globalization kwamba itumike nchi zote hivyo tafuta verdion iliyopo unlocked then tumia ODIN kuflash inaweza kusaidia kuondoa tatizo.
 
TCRA wakiamua kufatilia Duplicated IMEI wamezitoa wapi wanaweza kudakwa mafundi simu wa K/koo wote sema ndio hivyo TCRA wapo busy na wanaotukana serikali tu basi.
Napingana na wewe kuhusu duplicated no. Ninachofahamu kama IMEI aina moja inatumika kwenye simu 2 tofauti huwa zinafungwa, ukitaka kuamini katafute public certificate. Hebu fikiria idadi namba zipo 15 ndani yake unaweza ukapata idadi ya devices ngapi?

Ni kosa kisheria kubadilisha IMEI NO.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Napingana na wewe kuhusu duplicated no. Ninachofahamu kama IMEI aina moja inatumika kwenye simu 2 tofauti huwa zinafungwa, ukitaka kuamini katafute public certificate. Hebu fikiria idadi namba zipo 15 ndani yake unaweza ukapata idadi ya devices ngapi?

Ni kosa kisheria kubadilisha IMEI NO.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app

Boss ku parch certificate sio kosa kisheria?
 
Hiyo ni shida kuu ya Samsung iwe ni copy au og, na hutokea ikiwa simu uta ireset au kuflash.

Cheki imei ya ndani na ya nje zinafanana? Kama hapana iandikie IMEI.
Vile vile kama hazifanani iandikie IMEI.
 
Amani iwe nanyi

Nina simu yangu Samsung galaxy A20 Ina tatizo tajwa hapo juu. Kuna jamaa nilimpelekea Kariakoo anitatulie tatizo aliniweka town kutwa nzima jioni kanipa simu ipo fresh but baada ya siku tatu tatizo limejirudia tena!

Msaada jamani maana kwenda kushinda kutwa nzima tena kwa yule jamaa hell no.

Natanguliza shukrani
Mm yangu inafanya hivyo ni week sasa yan mpaka utoe line na kuirudisha
 
Back
Top Bottom