Plan Radeem King
Senior Member
- Mar 25, 2018
- 198
- 127
- Thread starter
- #21
Issue ni hyo CSC. Inabidi ibadilishwe. Iwe AFR tupu au XEO, XEFBoss jana nilimpa jamaa yangu hapa ninapoishi ameiflash na kuweka Android 10 tukiamini ita solve tatizo lakini bado lipo vile vile.
Tatizo lilianza ikiwa na Pie Android 9
Issue ni hyo CSC. Inabidi ibadilishwe. Iwe AFR tupu au XEO, XEF
Kma huyu jamaa anaweza kuflash mwambie a download firmware ya SM A205FN AFRUnanisaidiaje sasa boss wangu
Kma huyu jamaa anaweza kuflash mwambie a download firmware ya SM A202FN AFR
IMEI ipo Blacklisted hiyo kama Duplicated,hauwezi kupata Network mpaka aweke nyingine(ambayo ni unique) ila ni kosa kisheria ukidakwa na TCRA unakula mvua 10 au fine ya 15mils au vyote kwa pamoja.Boss jana nilimpa jamaa yangu hapa ninapoishi ameiflash na kuweka Android 10 tukiamini ita solve tatizo lakini bado lipo vile vile.
Tatizo lilianza ikiwa na Pie Android 9
IMEI ipo Blacklisted hiyo kama Duplicated,hauwezi kupata Network mpaka aweke nyingine(ambayo ni unique) ila ni kosa kisheria ukidakwa na TCRA unakula mvua 10 au fine ya 15mils au vyote kwa pamoja.
Kma huyu jamaa anaweza kuflash mwambie a download firmware ya SM A202FN AFR
IMEI ipo Blacklisted hiyo kama Duplicated,hauwezi kupata Network mpaka aweke nyingine(ambayo ni unique) ila ni kosa kisheria ukidakwa na TCRA unakula mvua 10 au fine ya 15mils au vyote kwa pamoja.
Nenda K/koo akuwekee IMEI nyingine ambayo ni Unique hiyo aliyokuwekea ikashika Network amewawekea wengi ndio maana Mtandao uka detect kama Duplicated hivyo wakaiblock,Ukitaka Ku prove kwamba IMEI ni chaka iangalie hiyo IMEI kama ina match na simu yako hiyo A20.What should I do?
Mimi simu yangu ilikuwa na hii shida jamaa akairoot akaiset ikakubali sasa nawaza Nikii unroot tatizo si linaweza kurudi etii???
Nenda K/koo akuwekee IMEI nyingine ambayo ni Unique hiyo aliyokuwekea ikashika Network amewawekea wengi ndio maana Mtandao uka detect kama Duplicated hivyo wakaiblock,Ukitaka Ku prove kwamba IMEI ni chaka iangalie hiyo IMEI kama ina match na simu yako hiyo A20.
Duuh msalaa huu...!!Jamaa alichofanya ni kukuwekea IMEI unique tu ila akiigawa kwa watu wengi ipo siku itakuja kupigwa PINI tena.
Alaf kweli aisee. Daah jamaa inawezekana kamuwekea IMEI ya mtu mwingine.IMEI ipo Blacklisted hiyo kama Duplicated,hauwezi kupata Network mpaka aweke nyingine(ambayo ni unique) ila ni kosa kisheria ukidakwa na TCRA unakula mvua 10 au fine ya 15mils au vyote kwa pamoja.
Sidhani kma litarudi. Maana aliroot ili abadilishe IMEI number. So imei isha kua saved kwenye simu tayariMimi simu yangu ilikuwa na hii shida jamaa akairoot akaiset ikakubali sasa nawaza Nikii unroot tatizo si linaweza kurudi etii???
Yes akitaka abonyeze *#06# aonyeshe IMEI tuangalie kama ni kweli ya Samsung Galaxy A20.Alaf kweli aisee. Daah jamaa inawezekana kamuwekea IMEI ya mtu mwingine.
Yes akitaka abonyeze *#06# aonyeshe IMEI tuangalie kama ni kweli ya Samsung Galaxy A20.
Suala la software jepesi sana ukipata mtu anaejuaaa...!! Ingekuwa imepasuka kioo sawaaAisee....... naitia chooni tu hii simu
Hamna mzee inapona hyo mbona. Tatzo pia ashaichokonoa imei yake. We nenda tu mwambie aingize imei number za simu yako. Zipo kwenye box. Kma huna box hapo mpk simu ifunguliwe kule ndani kuna imei number imeandikwaAisee....... naitia chooni tu hii simu
Hamna mzee inapona hyo mbona. Tatzo pia ashaichokonoa imei yake. We nenda tu mwambie aingize imei number za simu yako. Zipo kwenye box. Kma huna box hapo mpk simu ifunguliwe kule ndani kuna imei number imeandikwa