Plan Radeem King
Senior Member
- Mar 25, 2018
- 198
- 127
Amani iwe nanyi
Nina simu yangu Samsung galaxy A20 Ina tatizo tajwa hapo juu. Kuna jamaa nilimpelekea Kariakoo anitatulie tatizo aliniweka town kutwa nzima jioni kanipa simu ipo fresh but baada ya siku tatu tatizo limejirudia tena!
Msaada jamani maana kwenda kushinda kutwa nzima tena kwa yule jamaa hell no.
Natanguliza shukrani
Nina simu yangu Samsung galaxy A20 Ina tatizo tajwa hapo juu. Kuna jamaa nilimpelekea Kariakoo anitatulie tatizo aliniweka town kutwa nzima jioni kanipa simu ipo fresh but baada ya siku tatu tatizo limejirudia tena!
Msaada jamani maana kwenda kushinda kutwa nzima tena kwa yule jamaa hell no.
Natanguliza shukrani