Not registered on network

Not registered on network

Plan Radeem King

Senior Member
Joined
Mar 25, 2018
Posts
198
Reaction score
127
Amani iwe nanyi

Nina simu yangu Samsung galaxy A20 Ina tatizo tajwa hapo juu. Kuna jamaa nilimpelekea Kariakoo anitatulie tatizo aliniweka town kutwa nzima jioni kanipa simu ipo fresh but baada ya siku tatu tatizo limejirudia tena!

Msaada jamani maana kwenda kushinda kutwa nzima tena kwa yule jamaa hell no.

Natanguliza shukrani
 
Imei numbers zipo fresh
Ukiset Network manually je?? Inasoma. Alaf ebu tuma screenshot ya kwnye Settings->About Phone->Software Information.

Kma hivi:
Screenshot_20200712-085936_Settings.jpg
 
Mbona network inasoma mkuu au naona vibaya?????
 
Hapo kewnye Service Provider Swr Version inaonesha kuwa ni A20FN_SER. CSC code ya SER ni Russia (so ilikua model ya Russia) kwahiyo inawezekana baadhi ya Band zinazotumika bongo hazipo. Kwa huku bongo zinatakiwa kuwa AFR kote au XEO or XEF ndo zinasoma network zote za bongo.

Je ilikua inasoma vizuri hapo nyuma? Au tangia umeipata ndo inafanya hvyo. Na je ni line zote zinazingua? Au hizo zako tu
 
Hapo kewnye Service Provider Swr Version inaonesha kuwa ni A20FN_SER. CSC code ya SER ni Russia (so ilikua model ya Russia) kwahiyo inawezekana baadhi ya Band zinazotumika bongo hazipo. Kwa huku bongo zinatakiwa kuwa AFR kote au XEO or XEF ndo zinasoma network zote za bongo.

Je ilikua inasoma vizuri hapo nyuma? Au tangia umeipata ndo inafanya hvyo. Na je ni line zote zinazingua? Au hizo zako tu
Na Mimi Niko na tatizo kwenye simu inaonekana niliset out going call barring kwa hiyo nikipiga simu hazitoki nimejaribu kwenda kwenye setting kureset outgoing call baring inataka password sasa nimejaribu password nilizonazo zinagoma sielewi in password ipi inahitajika msaada tafadhali
 
Hapo kewnye Service Provider Swr Version inaonesha kuwa ni A20FN_SER. CSC code ya SER ni Russia (so ilikua model ya Russia) kwahiyo inawezekana baadhi ya Band zinazotumika bongo hazipo. Kwa huku bongo zinatakiwa kuwa AFR kote au XEO or XEF ndo zinasoma network zote za bongo.

Je ilikua inasoma vizuri hapo nyuma? Au tangia umeipata ndo inafanya hvyo. Na je ni line zote zinazingua? Au hizo zako tu

Boss chip zote zimekataa
 
Hapo kewnye Service Provider Swr Version inaonesha kuwa ni A20FN_SER. CSC code ya SER ni Russia (so ilikua model ya Russia) kwahiyo inawezekana baadhi ya Band zinazotumika bongo hazipo. Kwa huku bongo zinatakiwa kuwa AFR kote au XEO or XEF ndo zinasoma network zote za bongo.

Je ilikua inasoma vizuri hapo nyuma? Au tangia umeipata ndo inafanya hvyo. Na je ni line zote zinazingua? Au hizo zako tu

Tatizo lilianza tu ghafra
 
Hyo ni ya kuflash mzee. Kma una PC ya windows unaweza fanya mwenyew. Ukadowload firmware ukaflash na Odin. Kma huna PC hapo mpk uende kwa mtu mwenye huo uwezo. Mafundi wengi wa Kkoo wazushi, hawajui hayo mambo ya software.

Boss jana nilimpa jamaa yangu hapa ninapoishi ameiflash na kuweka Android 10 tukiamini ita solve tatizo lakini bado lipo vile vile.

Tatizo lilianza ikiwa na Pie Android 9
 
Hyo ni ya kuflash mzee. Kma una PC ya windows unaweza fanya mwenyew. Ukadowload firmware ukaflash na Odin. Kma huna PC hapo mpk uende kwa mtu mwenye huo uwezo. Mafundi wengi wa Kkoo wazushi, hawajui hayo mambo ya software.

Imei status ikisema NG huwa inamaanisha nn?
 
Boss jana nilimpa jamaa yangu hapa ninapoishi ameiflash na kuweka Android 10 tukiamini ita solve tatizo lakini bado lipo vile vile.

Tatizo lilianza ikiwa na Pie Android 9
Me pia nilipata hili tatizo ila mimi ilikuwa haioneshi kabisa network bar kuna mwana wa Kkoo alinirekebishiaa sema aliiroot sasa natamani kutoa root naona kama tatizo litarudii aiseee
 
Me pia nilipata hili tatizo ila mimi ilikuwa haioneshi kabisa network bar kuna mwana wa Kkoo alinirekebishiaa sema aliiroot sasa natamani kutoa root naona kama tatizo litarudii aiseee

Boss simu yako ni kama hii?
 
Back
Top Bottom