"Not On Christian Mission"

"Not On Christian Mission"

Wewe ndio ujui unacho ongea wala ujui nini unacho tetea bora unyamaze kimya...!
Hizo sera zenu za kumnyamaziha kila asiyekubaliana na upuuzi wenu kwangu hazifanyi kazi. Jifunge mabomu uje uone kama hayajakulipukia kabla hujanifikia
 
Kujifunza kuna ruhusiwa....neno sahihi ni lipi? Salem ama Salema????

Unajua huyu Dr Karen Woo hakuwa hata anaamini Ukristo? Amehojiwa aliyekuwa amwoe wiki zijazo sasa hivi hapa na El Jazira
Mkuu neno sahihi ni "SALAM" kutoka kwenye mzizi au shina s-l-m... Lakini ili neno haswa limetoka kwenye verb Aslama.... which means "to accept, surrender or submit." Thus, Islam means acceptance of... and submission to God...!

Huyo mama amekutwa na maswahiba hayo kwa kuwa alikuwa wrong place at the wrong time...!
 
Hizo sera zenu za kumnyamaziha kila asiyekubaliana na upuuzi wenu kwangu hazifanyi kazi. Jifunge mabomu uje uone kama hayajakulipukia kabla hujanifikia
Wewe upo kwenye giza la kiakili so sina muda wa kujibishana na mtu asiyejuwa nini anaongea... pole sana.
 
Mkuu neno sahihi ni "SALAM" kutoka kwenye mzizi au shina s-l-m... Lakini ili neno haswa limetoka kwenye verb Aslama.... which means "to accept, surrender or submit." Thus, Islam means acceptance of... and submission to God...!

Huyo mama amekutwa na maswahiba hayo kwa kuwa alikuwa wrong place at the wrong time...!

Shukrani! Nililishwa sumu Salam na Salema!

Ni kweli Dr Karen was in a very wrong Place. She was not preaching Christianity.... so sad, no religion or political agenda on her deeds
 
Shukrani! Nililishwa sumu Salam na Salema!

Ni kweli Dr Karen was in a very wrong Place. She was not preaching Christianity.... so sad, no religion or political agenda on her deeds

weye nawe ulikua mchovu kweli yani hukujua hata maana ya DAR ES SALAAM. Teh teh teh teh
 
weye nawe ulikua mchovu kweli yani hukujua hata maana ya DAR ES SALAAM. Teh teh teh teh

Salama Mkuu ulipotea sana kama mkojo wa jogoo! ama kura za maoni zilikukimbiza?
 
THATS WHY I BEG TO BE ON THE OPPOSITE SIDE OF WHAT THESE PEOPLE WANT TO BE....!....WATU HAWA UKIWAONA KWA WINGI KATIKA CHAMA FULANI UJUE WANA INTERESTS ZAO..................sijasema kuwa nilikiogopa chama cha CUF sababu ya hawa jamaa kuwa kwa wingi huko ambao hutenda bila kufikiri.......KWAO KISASI NI SEHEMU YA IBADA....!
 
Ukubwa jiwe, Mkuu lazima ukubaliane na matokeo na ukizingatia refa ni BAUNSA

Haya kaka Peace! haya nini msimamo wako na hawa jamaa kumuuwa huyo Dr kwa sababu za kiislamu?
 
Haya kaka Peace! haya nini msimamo wako na hawa jamaa kumuuwa huyo Dr kwa sababu za kiislamu?

Hao jamaa, ndivyo walivyo mie kinachonishangaza kabisa ni hiyo sababu yao kwamba ya kueneza ukristo, binafsi mie ningejaribu kuelewa kama wangesema wamemuua kwa sababu ya uingereza wake.

Maana kama ni kueneza ukristo kwa kweli kwangu haimake sense kwa sababu hata hasa nchi za ulaya si za kiislam lakini wanaruhusiwa kujenga misikiti na wakizuiwa tu kuvaa hijab kwa sababu za kiusalama WAO UTAONA WANAANDAMANA ETI NA KUSEMA UHURU WA KUABUDU. HIVI UHURU WA KUABUDU NI SIMPLEX TU NA SIO DUPLEX?
 
Xpaster

Nina rafiki na jamaa wa Kiislam, wanamioyo mizuri sana na mara zote wanachukia waislam wanaofanya mauwaji kwa kisingizio cha dini...nachukia hawa fundementalist maana nadhani wanaenda kinyume na uislam wa kweli. Islam ni neno la kiarabu lililotokana na "Salema" which means peace, purity, submission and obedience. Hata Mzanzibar wangu hapendi hawa wanaotumia upanga kuuwa kusingizia imani.

Mauaji ya namna yeyote ile ni lazima yalaaniwe. Hakuna mwenye haki ya kutoa mtu uhai wake. Sidhani ni sawa tukaanza kubishana kuwa mauaji haya ni sawa kwa kuwa kuna mengine yaliyotokea. Na sidhani pia kama ni kweli 'West' wana mkono wao katika mauaji yanayoendelea Afghan. Naona tunaendeleza chuki katika yetu. Kwa nini waafghan wasikae pamoja na kusema basi, sisi ni ndugu tusiuane! Hakuna Nguvu kuliko Umoja, na nguvu hii inakufa ukileta bangi za dini ndani yake.
 
Mkuu X-P,
Mi ndo nashangaa sana mkuki kwa nguruwe tu...!
 
Back
Top Bottom