Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
- Thread starter
- #81
JJ. MNYIKA anasema hawajalala usiku kucha, wameshajumlisha matokeo kwa compyuta zao wanaongoza kwa kura zaidi ya 20,000!.
Mnyika kakatizwa, wamerudi studio!, ila kama ni kweli, hongera sana JJ Mnyika.
Pasco
Duh...!, basi maiti zitakuwa nyingi sana, kwa jinsi mlivyo wengi, si mochwali itajaa?!.Mpaka wewe unasifia chama cha upinzani?
Chama chochote cha upinzani kinachosifiwa na wana CCM sio chama ni maiti
P