Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 91
Sasa hawa jamaa wakati mwingine ndio wanachangia katika kampeni za CCM kama ile kampuni ya AFGEM kule Arusha
Buswelu so hiyo list yako hapo juu inathamani kuliko maisha ya hao maskini wa kitanzania?? No wonder hata viongozi wanaona si kazi yao kulinda maisha ya watanzania bali makampuni ya kigeni?
1700 Employee utawaajiri wewe? wanao toa PAYE ya wastani wa 370,000 kila mmoja kwa mwezi hiyo kodi utalipa wewe....?Utaichimba wewe hiyo dhahabu?Utatoa mrahaba kwa wilaya ya tarime?Wasome wanafunzi 1500 kila mwaka?
Au baada ya kufunga utasema kuwa tanzania imeshidwa kuwapatia ajira wananchi wake...fikiri kabla kujaza post tu humu ndani?
Mwadishi kaingiza siku hapo wewe je?
Hapa sasa ndiyo tuone JK anavyoweza kuwa na maamuzi sahihi.
Kwa maana mabomu ya Mbagala, hakuna aliyewajibika LAKINI hili la Nyamongo hatutakubali ubabaishaji.
Serikali lazima ifanye jambo linaloonekana na si siasa tupu.
Barrick wanatamba kuwa wao ni mabingwa katika mambo ya usalama na kuwa wanajali sana maisha na afya za binadamu hapa watueleze walichokificha muda wote huo na kulipa fidia.
1700 Employee utawaajiri wewe? wanao toa PAYE ya wastani wa 370,000 kila mmoja kwa mwezi hiyo kodi utalipa wewe....?Utaichimba wewe hiyo dhahabu?Utatoa mrahaba kwa wilaya ya tarime?Wasome wanafunzi 1500 kila mwaka?
Au baada ya kufunga utasema kuwa tanzania imeshidwa kuwapatia ajira wananchi wake...fikiri kabla kujaza post tu humu ndani?
Mwadishi kaingiza siku hapo wewe je?
Buswelu, acha kulinganisha maisha ya binadamu wenzio kama ya sisimizi,
-kwani kabla hao barriki hawajaja, watu walikuwa hawiaishi?
-Watoto walikuwa hawaendi shule?
-Dhahabu ilikuwa inaoza huko ardhini?
Kama kuchimba dhahabu na kuambulia hivyo vi faida uchwara, kwa garama ya uhai wa wananchi masikini wanao porwa urithi wao, ni bora waondoke, watuache na umasikini wetu na dhahabu yetu.
Ni afadhali wachoji walikuwa wanachimba kidogo kidogo na kuendesha maisha yao kuliko ilivo sasa dhahabu yote inahamishwa wanabakishiwa mashimo, na kibaya zaidi wanauliwa?
comeon man, be serious!
Jamani Mimi Mwenzenu nimetishika sana nilipoona kwenye TV watu walioadhiriwa na Kemikali huko Northmara.Kwa kweli inatia huruma binadamu wenzetu wanapopata tabu na kufa kiasi hicho bila hatua za haraka za kuwanusuru.Hata madini yangekuwa na dhamani gani si sawa na uhai wa binadamu.Jamani Serikali yetu mchukue hatua za haraka kuwanusuru watu hawa wanaoteseka.Waliotiririsha Kemikali wachukuliwe hatua na wawalipe fidia waliadhirika na Kemikali.Sijui wenzangu wana JF mnaonaje hili!!!!!!
Rwagubiri I am seriuos am just think different with others.Barrick have been there since 2004 when they took over from placer Dome.
When they took over everything was arleady paid by placer from the start.But due to liitle knowladge of understanding compasation,mining industry and Chemical Awarenenes from couples of us we think barrick are responsible for everything.And they dont care what village around mining.
Some of the things are beyond barrick capacity in tanzania.
1700 Employee utawaajiri wewe? wanao toa PAYE ya wastani wa 370,000 kila mmoja kwa mwezi hiyo kodi utalipa wewe....?Utaichimba wewe hiyo dhahabu?Utatoa mrahaba kwa wilaya ya tarime?Wasome wanafunzi 1500 kila mwaka?
Au baada ya kufunga utasema kuwa tanzania imeshidwa kuwapatia ajira wananchi wake...fikiri kabla kujaza post tu humu ndani?
Mwadishi kaingiza siku hapo wewe je?