STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,567
Safi sana kwa kumpa za usoRudi usome korea war,,North korea imeshapigana na marekani pamoja na washirika karibu 30,walichakazwa mpaka wakakubali suluhu,,technically bado wako vitani kwani kulikuwepo na cease fire tu,vita havikuisha