hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
😀😀😀😀kmmkHata sisi tunalo lina rangi ya kijani, cha kushangaza linalipua watu wake
😀😀😀😀kmmkHata sisi tunalo lina rangi ya kijani, cha kushangaza linalipua watu wake
Kwahiyo haya madubwana yote ni ya n. Korea??? 😀😀😀😀 Kmmk... Hadi raha yaani usa huko walipo lazima wachanganyikiwe
Korea kaskazini imeshajihakikishia usalama,,hakuna nchi itadhubutu tena kuishambulia kwasababu za kijinga jingaKwahiyo haya madubwana yote ni ya n. Korea??? 😀😀😀😀 Kmmk... Hadi raha yaani usa huko walipo lazima wachanganyikiwe
Mkuu kichaa anaposhikilia panga unahitajika umakini kumnyang'anya hata kulikoni mtu mwenye akili akiwa na smg.
Kim ni kichaa ukienda kijinga analipua.
Amini usiamini kuwa Us halali anapanga hila kummaliza kimya kimya bila vita.
Ni ngumu kummaliza Kim kwa silaha lkn kwa mwendo wa Trumph kujishusha kwake na kujifanya mjinga watammaliza huyu ndg kimya kimya. Us hajawahi kuwa mjinga anajua fika huyu ukiingia kichwa kichwa atawaaibisha.
Usimfanye mzee wa futuhi akakurupuka kama.kawaida yake...us ifutike usoni mwa duniaKorea ni nchi zaifu Sana, wanatumia propaganda kujifariji.
Humo ndani ya hiyo chupa kumewekwa magodoro tupu.
Hahaha. Natania tu.
Sema kweli kwamba huwa anachungulia..akiona mtu mwamba haendiUSA huwa ana marafiki zake ambao huwa hawagusi
mkuu watu wengi wanaumwa Trump syndrome!Kati ya raisi anaye takiwa kulaumiwa kutoidhibiti Nk ni bushi kwa sababu NK imeanza mchakato wa kutengeneza silaa za nyukilia mwaka 2002 na kutangaza kumiliki silaa hizo 2006 ,ina maana NK imeanza mchakato wa kutengeneza na kumiliki hizo silaa chini ya utawala wa Bush kama kuivamia Nk ni kuivamia bushi ndio angetakiwa kuidhibiti kwa sababu kusingekuwa na madhara makubwa ikilinganishwa na sasa.
Sasa hivi kuidhibiti NK hakiwezekani kabisa na haya yote yameshababishwa na uzembe wa utawala wa Bush.
some people on here are very dumb........ hivi wanadhani Trump na ex CIA chief (Pompeo) walikua wajinga kutaka diplomatic soln na NK?Rudi usome korea war,,North korea imeshapigana na marekani pamoja na washirika karibu 30,walichakazwa mpaka wakakubali suluhu,,technically bado wako vitani kwani kulikuwepo na cease fire tu,vita havikuisha
.......na kama sio US kuilinda S.K leo hii ingekua chini ya KimN Korea ni kama Israel kiaina flani hivi.
Ufanano wao ni kuwa wanaishi kwa kukingiwa kifua na wababe wa Dunia.
Siku wahisani wakiacha kuzikingia kifua hizi nchi mbili zitakuwa nothing kabisa.
US + western Europe wako nyuma ya Israel wanaipa unconditional support.
China + USSR(RUSSIA now) wako nyuma ya n. Korea wanaipa support ya kutosha.
Ikitokea siku hao patrons wakiwatelekeza hizi nchi zitakuwa za kawaida Sana.
During Korean War kama sio CHINA NA RUSSIA kuingia vitani kulinda N. Korea Leo hii hii nchi ungekua under US.
Sure jamaa na wana guts simchezo 😂. Hapo sasa kilichobaki wapambane tu kuimarisha uchumi waoKorea kaskazini imeshajihakikishia usalama,,hakuna nchi itadhubutu tena kuishambulia kwasababu za kijinga jinga
Well said.N Korea ni kama Israel kiaina flani hivi.
Ufanano wao ni kuwa wanaishi kwa kukingiwa kifua na wababe wa Dunia.
Siku wahisani wakiacha kuzikingia kifua hizi nchi mbili zitakuwa nothing kabisa.
US + western Europe wako nyuma ya Israel wanaipa unconditional support.
China + USSR(RUSSIA now) wako nyuma ya n. Korea wanaipa support ya kutosha.
Ikitokea siku hao patrons wakiwatelekeza hizi nchi zitakuwa za kawaida Sana.
During Korean War kama sio CHINA NA RUSSIA kuingia vitani kulinda N. Korea Leo hii hii nchi ungekua under US.
Kwa kuanzia tumtafutie Ghalib Bilali laboratory na wana kama watatu hivi...baada ya miaka 3 plant inawekwa tunaanza mamboNasi Tutayamiliki Hayo Kupitia Ma ~ Professor Wetu
Kila siku huwa nasema hapa kuwa Trump ni Rais mbumbumbu na muoga sana kuwahi kutokea marekani.Imagine hili bomu limetengenezwa ndani ya utawala wake.Hakuna Rais yoyote wa Marekani aliepita ambae atakubali huu upupu wa korea.
Mkuu mbona watunywesha kahawa ya baridi!Marekani inaongozwa na jopo la watu wakati nchi kama Iran, Russia, China, North Korea n.k zinaongozwa na mtu mmoja. Kiduku akifa hata leo, nchi ndiyo inayumba hivyo kwasababu yeye ndiyo master plan.
Hawatangazi nini?uzuri US Army wametulia hawatangazi
Mkuu mbona watunywesha kahawa ya baridi!
North Korea imekuwepo na imemchachafya Marekani kabla hata ya huyo Kiduku kuzaliwa. Na kiongozi alipokufa, NK haikutetereka.
Kaa hivyo hivyo ukisubiria Kiduku afariki ili NK ianguke...utajikuta nawe watangulia kwenye ufalme wa bwana waiacha NK ikiendelea kutamalaki ktk anga za kimataifa.
Eti Iran yaongozwa na mtu mmoja😂🤣🤣🤣 Huyo mtu mmoja toka miaka hiyo ya zilipendwa hajafa tu?
Ebu nitajie ni rais gani wa Iran ambaye amekaa madarakani kwa miaka angalau 10Nchi zinazoongozwa na akili ya mtu mmoja huwa hazina uchaguzi au zikifanya uchaguzi basi anateuliwa mtu yule yule kila mwaka. Mtu ana miaka 20 yupo madarakani na hakuna dalili ya kuachia ngazi mpaka afe. Iran, North Korea, Russia, China n.k zinaongozwa na akili za mtu mmoja kwahiyo nchi hizi huwa hazidumu ni suala la muda tu. Katika nchi hizi sheria huwa ni Raisi yaani sheria ndiyo raisi, raisi akisema fanya hivi wote wanafanya, hakuna kuuliza. Hapa ndiyo Marekani anawashinda kwasababu inaongozwa na jopo la watu na raisi anafuata maagizo tu.
Yupo wapo wapi Ghadafi na Libya yake? Cuba ya Fedro Castro bado ipo vile vile kama kipindi cha Fedro? Huyo North Korea au Iran ni suala la muda tu na usifikiri Trump ni mjinga. "All options are on the table" Ni suala la muda tu.