North Korea yaonesha 'MONSTER' ICBM, Kombora kubwa mnoo la kinyuklia, katika military parade

Mkuu kichaa anaposhikilia panga unahitajika umakini kumnyang'anya hata kulikoni mtu mwenye akili akiwa na smg.
Kim ni kichaa ukienda kijinga analipua.

Amini usiamini kuwa Us halali anapanga hila kummaliza kimya kimya bila vita.
Ni ngumu kummaliza Kim kwa silaha lkn kwa mwendo wa Trumph kujishusha kwake na kujifanya mjinga watammaliza huyu ndg kimya kimya. Us hajawahi kuwa mjinga anajua fika huyu ukiingia kichwa kichwa atawaaibisha.

Sio kweli, mbona Fidel Castro aliye kuwa anatawala CUBA kwa miaka mingi, USA Administration specifically CIA walijaribu kumuua Castro mara hamsini lakini wakashindwa, kumbuka umbali wa CUBA kutoka pwani ya Merikani ni maili 90 tu!!

Sasa nini kilimtokea Rais Kennedy baada ya kufanya majaribio mengi ya kutaka kumuua Castro mpaka kufika hatua ya kumtuma former Girlfriend wa Castro ambaye alikuwa na asili ya Ujerumani - mama huyo alipo wasili Cuba kamwambia Castro mpango mzima wa Kennedy na CIA wa kumumaliza Fidel - baada ya miezi michache Kennedy ndiye kajikuta anapoteza maisha kwa kupigwa risasi na professional assassins!!

Bottom line is: Msichukulie regime ya North Korea poa hata kidogo, North Korea ndio waliwafundisha Wairan jinsi ya kuunda high accurate ballistic missiles walizo tumia kushambulia military bases za Merikani huko Iraq, sina shaka Wakorea wamekwisha wafundisha Wairan jinsi ya kuunda mpaka mabomu aina ya thermonuclear.
 
Kati ya raisi anaye takiwa kulaumiwa kutoidhibiti Nk ni bushi kwa sababu NK imeanza mchakato wa kutengeneza silaa za nyukilia mwaka 2002 na kutangaza kumiliki silaa hizo 2006 ,ina maana NK imeanza mchakato wa kutengeneza na kumiliki hizo silaa chini ya utawala wa Bush kama kuivamia Nk ni kuivamia bushi ndio angetakiwa kuidhibiti kwa sababu kusingekuwa na madhara makubwa ikilinganishwa na sasa.
Sasa hivi kuidhibiti NK hakiwezekani kabisa na haya yote yameshababishwa na uzembe wa utawala wa Bush.
mkuu watu wengi wanaumwa Trump syndrome!


Clinton ndiye alieanza kufanya makosa kwenye masuala ya ghuba ya korea, akaja Bush, Obama ndio kabisaaaaa kawasaidia mpk Irani kufika walipofika!
 
Rudi usome korea war,,North korea imeshapigana na marekani pamoja na washirika karibu 30,walichakazwa mpaka wakakubali suluhu,,technically bado wako vitani kwani kulikuwepo na cease fire tu,vita havikuisha
some people on here are very dumb........ hivi wanadhani Trump na ex CIA chief (Pompeo) walikua wajinga kutaka diplomatic soln na NK?


kuna comment zingine unaishia kusoma na kucheka, tokea Clinton mpk leo US hajaivamia NK, watu wanadhani masihara.........
 
N Korea ni kama Israel kiaina flani hivi.
Ufanano wao ni kuwa wanaishi kwa kukingiwa kifua na wababe wa Dunia.

Siku wahisani wakiacha kuzikingia kifua hizi nchi mbili zitakuwa nothing kabisa.

US + western Europe wako nyuma ya Israel wanaipa unconditional support.

China + USSR(RUSSIA now) wako nyuma ya n. Korea wanaipa support ya kutosha.

Ikitokea siku hao patrons wakiwatelekeza hizi nchi zitakuwa za kawaida Sana.

During Korean War kama sio CHINA NA RUSSIA kuingia vitani kulinda N. Korea Leo hii hii nchi ungekua under US.
.......na kama sio US kuilinda S.K leo hii ingekua chini ya Kim
 
Korea kaskazini imeshajihakikishia usalama,,hakuna nchi itadhubutu tena kuishambulia kwasababu za kijinga jinga
Sure jamaa na wana guts simchezo 😂. Hapo sasa kilichobaki wapambane tu kuimarisha uchumi wao
 
N Korea ni kama Israel kiaina flani hivi.
Ufanano wao ni kuwa wanaishi kwa kukingiwa kifua na wababe wa Dunia.

Siku wahisani wakiacha kuzikingia kifua hizi nchi mbili zitakuwa nothing kabisa.

US + western Europe wako nyuma ya Israel wanaipa unconditional support.

China + USSR(RUSSIA now) wako nyuma ya n. Korea wanaipa support ya kutosha.

Ikitokea siku hao patrons wakiwatelekeza hizi nchi zitakuwa za kawaida Sana.

During Korean War kama sio CHINA NA RUSSIA kuingia vitani kulinda N. Korea Leo hii hii nchi ungekua under US.
Well said.
 
Vita vya kuonesheana ubabe vishapitwa na wakati. Marekani anapigana vita vya kiuchumi tu (una nini nije nipige nichukue).
Vita vina gharama sana na ukumbuke pia nchi ina mahitaji yake. Uchukue pesa kwenye hazina ukapigane vita halafu hakuna faida? Amka na shituka ngozi nyeusi. Tupo kwenye ulimwengu wa "imperialism"
Marekani inaongozwa na jopo la watu wakati nchi kama Iran, Russia, China, North Korea n.k zinaongozwa na mtu mmoja. Kiduku akifa hata leo, nchi ndiyo inayumba hivyo kwasababu yeye ndiyo master plan. Ni suala la muda tu. Trump siyo mbumbu wala mjinga na ukumbuke Marekani huwa hawachagui Raisi ilimradi Raisi. Kila Raisi ana majukumu yake. Osama alilipua jengo la Marekani kipindi cha Bush lakini Obama alikuja kumuuua Osama.
Marekani huwa hapigani vita vya hasara hata siku moja.
Kila siku huwa nasema hapa kuwa Trump ni Rais mbumbumbu na muoga sana kuwahi kutokea marekani.Imagine hili bomu limetengenezwa ndani ya utawala wake.Hakuna Rais yoyote wa Marekani aliepita ambae atakubali huu upupu wa korea.
 
Marekani inaongozwa na jopo la watu wakati nchi kama Iran, Russia, China, North Korea n.k zinaongozwa na mtu mmoja. Kiduku akifa hata leo, nchi ndiyo inayumba hivyo kwasababu yeye ndiyo master plan.
Mkuu mbona watunywesha kahawa ya baridi!

North Korea imekuwepo na imemchachafya Marekani kabla hata ya huyo Kiduku kuzaliwa. Na kiongozi alipokufa, NK haikutetereka.

Kaa hivyo hivyo ukisubiria Kiduku afariki ili NK ianguke...utajikuta nawe watangulia kwenye ufalme wa bwana waiacha NK ikiendelea kutamalaki ktk anga za kimataifa.

Eti Iran yaongozwa na mtu mmoja😂🤣🤣🤣 Huyo mtu mmoja toka miaka hiyo ya zilipendwa hajafa tu?
 
Nchi zinazoongozwa na akili ya mtu mmoja huwa hazina uchaguzi au zikifanya uchaguzi basi anateuliwa mtu yule yule kila mwaka. Mtu ana miaka 20 yupo madarakani na hakuna dalili ya kuachia ngazi mpaka afe. Iran, North Korea, Russia, China n.k zinaongozwa na akili za mtu mmoja kwahiyo nchi hizi huwa hazidumu ni suala la muda tu. Katika nchi hizi sheria huwa ni Raisi yaani sheria ndiyo raisi, raisi akisema fanya hivi wote wanafanya, hakuna kuuliza. Hapa ndiyo Marekani anawashinda kwasababu inaongozwa na jopo la watu na raisi anafuata maagizo tu.
Yupo wapo wapi Ghadafi na Libya yake? Cuba ya Fedro Castro bado ipo vile vile kama kipindi cha Fedro? Huyo North Korea au Iran ni suala la muda tu na usifikiri Trump ni mjinga. "All options are on the table" Ni suala la muda tu.
Mkuu mbona watunywesha kahawa ya baridi!

North Korea imekuwepo na imemchachafya Marekani kabla hata ya huyo Kiduku kuzaliwa. Na kiongozi alipokufa, NK haikutetereka.

Kaa hivyo hivyo ukisubiria Kiduku afariki ili NK ianguke...utajikuta nawe watangulia kwenye ufalme wa bwana waiacha NK ikiendelea kutamalaki ktk anga za kimataifa.

Eti Iran yaongozwa na mtu mmoja😂🤣🤣🤣 Huyo mtu mmoja toka miaka hiyo ya zilipendwa hajafa tu?
 
Inabidi hawa wakorea watufundishe kutengeneza haya madude sisi wana wao na nuclear pia kwa sababu materials tunayo
 
Nchi zinazoongozwa na akili ya mtu mmoja huwa hazina uchaguzi au zikifanya uchaguzi basi anateuliwa mtu yule yule kila mwaka. Mtu ana miaka 20 yupo madarakani na hakuna dalili ya kuachia ngazi mpaka afe. Iran, North Korea, Russia, China n.k zinaongozwa na akili za mtu mmoja kwahiyo nchi hizi huwa hazidumu ni suala la muda tu. Katika nchi hizi sheria huwa ni Raisi yaani sheria ndiyo raisi, raisi akisema fanya hivi wote wanafanya, hakuna kuuliza. Hapa ndiyo Marekani anawashinda kwasababu inaongozwa na jopo la watu na raisi anafuata maagizo tu.
Yupo wapo wapi Ghadafi na Libya yake? Cuba ya Fedro Castro bado ipo vile vile kama kipindi cha Fedro? Huyo North Korea au Iran ni suala la muda tu na usifikiri Trump ni mjinga. "All options are on the table" Ni suala la muda tu.
Ebu nitajie ni rais gani wa Iran ambaye amekaa madarakani kwa miaka angalau 10
 
Back
Top Bottom