Korea Kaskazini kuipatia silaha Iran na Hamas

green rajab

JF-Expert Member
Oct 16, 2015
11,306
35,852
BREAKING:

North Korea will start arming Palestine and Iran-backed resistance axis militias - Wall Street Journal

According to a report by the WSJ, the National Intelligence Service of South Korea claim they have received credible evidence that DPRK Leader Kim Jong Un has ordered his government to begin providing support to the Palestinians, including Hamas.

According to the NIS, he has also ordered officials to begin looking into the possibility of weapons shipments to resistance axis militias across the Middle East.
IMG_20231102_210940.jpg
 
Israel just lost its HIGHEST RANKING SOLDIER so far, a battalion commander from the 188th Brigade.View attachment 2801789
Kuna makamanda waandamizi wengi wa Hamas wameuwawa. Akiwemo kamanda aliyeendesha mashambulizi ya tarehe 7 na kamanda wa kikosi cha anti tank missiles.

Gaza city imezingirwa leo. Sikutarajia upinzani mwepesi hivi hadi sasa Israel haijapoteza hata wanajeshi 30 kwenye hii ground offensive. Wamepoteza Namer heavy IFV moja ila sijaona wanapoteza kifaru chochote pamoja na anti tank missiles zote walizonazo Hamas.

Huu ni upinzani mdogo sana wale wapiganaji 25,000 tulioambiwa wa Hamas mbona hatuwaoni. Na maelfu ya maroketi wanayorusha yanapenya machache sana. Hamas walijichanganya ngoja tusubiri Hezbollah na makundi mengine
 
Kuna makamanda waandamizi wengi wa Hamas wameuwawa. Akiwemo kamanda aliyeendesha mashambulizi ya tarehe 7 na kamanda wa kikosi cha anti tank missiles.

Gaza city imezingirwa leo. Sikutarajia upinzani mwepesi hivi hadi sasa Israel haijapoteza hata wanajeshi 30 kwenye hii ground offensive. Wamepoteza Namer heavy IFV moja ila sijaona wanapoteza kifaru chochote pamoja na anti tank missiles zote walizonazo Hamas.

Huu ni upinzani mdogo sana wale wapiganaji 25,000 tulioambiwa wa Hamas mbona hatuwaoni. Na maelfu ya maroketi wanayorusha yanapenya machache sana. Hamas walijichanganya ngoja tusubiri Hezbollah na makundi mengine
Kwagu mim naona hadi hapo hamasi ni wanaume hasa ,maana yake USA ndo inaendesha hivyo vita kwa sasa ,halAfu hamasi hana anti tank
 
Kuna makamanda waandamizi wengi wa Hamas wameuwawa. Akiwemo kamanda aliyeendesha mashambulizi ya tarehe 7 na kamanda wa kikosi cha anti tank missiles.

Gaza city imezingirwa leo. Sikutarajia upinzani mwepesi hivi hadi sasa Israel haijapoteza hata wanajeshi 30 kwenye hii ground offensive. Wamepoteza Namer heavy IFV moja ila sijaona wanapoteza kifaru chochote pamoja na anti tank missiles zote walizonazo Hamas.

Huu ni upinzani mdogo sana wale wapiganaji 25,000 tulioambiwa wa Hamas mbona hatuwaoni. Na maelfu ya maroketi wanayorusha yanapenya machache sana. Hamas walijichanganya ngoja tusubiri Hezbollah na makundi mengine
Another zionist baby killer down
Lt. Col. Salman Habaka, the commander of the 188th Armored Brigade's 53rd Battalion was killed during clashes with the resistance.
IMG_20231102_233802.jpg
 
Back
Top Bottom