STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,566
Vichwa vyenu vilivyo mafuvu ndio mnawaza eti makombora yatawaripukia wenyewe, usijitoe ufahamu pimbi ww"Kilichobakia" kitu gani?
"Mnachokiwaza" kina nani?
Vichwa vyenu vilivyo mafuvu ndio mnawaza eti makombora yatawaripukia wenyewe, usijitoe ufahamu pimbi ww"Kilichobakia" kitu gani?
"Mnachokiwaza" kina nani?
Usijadili kitu usichokijua.Vichwa vyenu vilivyo mafuvu ndio mnawaza eti makombora yatawaripukia wenyewe, usijitoe ufahamu pimbi ww
Ndio nikakwambia kichwa chako fuvu kwa hayo maswali unayouliza wakati taari huko juu jibu ulishaliunga mkono kwa kutoa comment, unajifanya unajua kumbe kichwani emptyUsijadili kitu usichokijua.
Nimeweka rejea kwa wasiofahamu kama wewe, nenda kasome kwanza.
Mlipuko ulioua watu watano sijui. Wakati hapa nchini mwaka huohuo gari la mafuta liliua zaidi ya idadi unayoijua. Ajari kazini kwenye test siteYawalipukie mara ngapi?
Rejea mlipuko wa mwaka jana nchini Urusi kutokana na kufeli kwa jaribio la nuclear-armed cruise missile.
Ina maana hata submarine zao hazina Nuclea missileUS hawana mobile ICBM wanazo silo based ICBM,,zamani walikuwa nazo wakazidemote..
Kuna Roadmobile missile na kuna Submarine launched missiles,vitu viwili tofautiIna maana hata submarine zao hazina Nuclea missile