ikinyunyi
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,062
- 941
Usiwaamini Aljazeera, CNN, BBC na wengne, vibaraka wa propaganda za magharibi.....tumia akili yako, kamwe usiwaze kuwa US anapenda saaana maisha yako, utapotea sana!Tatizo bwana mdogo Kim hana nidhamu!!!! Mbona nchi nyingine hazina kiherehere kama yeye.
Mbwembwe zooooote za Kim nchi ina jumla ya barabarani za lami za kilometa 728 tu!!! Mpuuzi kabisa Kim!!Source: Aljazeera
Sent using Jamii Forums mobile app