North Korea sasa inastahili ichapwe

North Korea sasa inastahili ichapwe

Huyu Kim Jong Un, sidhani kama ana ICBM kweli yenye range ya kuweza kutua west coast ya US kama anavyotaka dunia iamini.

Alivyo na mbwembwe kama kweli angekuwa nayo, angesharusha hata moja likatua pwani ya Hawaii.

Mimi nahisi ni mikwara tu ya kutaka aogopwe na maadui zake ambao nao kwa kutokuwa na uhakika na hilo, wanamgwaya ila huyu one day itakujakujulikana kuwa alikuwa ni nothing but "The Kibisa Snake". Time will give us the answer.
 
Kwa kitendo cha kibri cha Rais wa Korea Kaskazini cha kutest hii leo Hydrogen Bomb ambalo lina nguvu kubwa zaidi ya Atomic Bomb anastahili adhabu kali kuliko zote zilizowahi kutolewa Duniani. Trump na jumuiya ya kimataifa wamemvumilia sana bwana mdogo Kim Jong Un lakini sasa kanyea mbeleko.

Enough is enough North Korea Must be punished Severely!!!! No matter what!!! Dunia nzima including Tz tutakuwa hatarini kwa sababu ya mpuuzi Kim!!! Tatizo la kuwapa madaraka makubwa vijana wa umri mdogo kama Kim Jong Un unajidhihirisha wazi;

Bwana Kim kakosa busara na adabu anastahili kuchapwa tu kwa gharama yoyote . Tusubili kauli ya Trump the World Chief of Defensive Forces. Bwana mdogo Kim achapwe hadi chumbani kwake anakolala.
Hili ndio tatizo la kuzidiwa na habari za upande mmoja. Hivi unaijua North Korea vizuri? Thubutu uone mtakavyopigwa za chembe
 
Mkuu umetoa ushauri wa Busara sana !!!!
Kim Jong Un kumiliki silaha kama hizo ipo siku ataua watu wengi sana!!! Inabidi Adhibitiwe mapema iwezekanavyo!!!!
[emoji122][emoji122][emoji122]
North Korea kaanza kutengeneza Silaha za kujihami mara baada ya vita iliyoibomoa kabisa nchi hiyo na kuigeuza majivu. Hiyo ni mwanzoni mwa miaka ya 1960 na chuki dhidi yao na USA ipo tangu kipindi hicho cha uongozi wa Kim IL Sung akaja Kim Jong IL na huyu aliyepo kaukuta mfumo umeimarika zaidi.
Kwa hiyo sio udogo wa kiongozi ila ni kuimarika kwa DPRK katika eneo la kijeshi. Usiombe USA arushe hata tofali ndani ya ardhi ya NK. Maji mtayaita mma
 
Kwa kitendo cha kibri cha Rais wa Korea Kaskazini cha kutest hii leo Hydrogen Bomb ambalo lina nguvu kubwa zaidi ya Atomic Bomb anastahili adhabu kali kuliko zote zilizowahi kutolewa Duniani. Trump na jumuiya ya kimataifa wamemvumilia sana bwana mdogo Kim Jong Un lakini sasa kanyea mbeleko.

Enough is enough North Korea Must be punished Severely!!!! No matter what!!! Dunia nzima including Tz tutakuwa hatarini kwa sababu ya mpuuzi Kim!!! Tatizo la kuwapa madaraka makubwa vijana wa umri mdogo kama Kim Jong Un unajidhihirisha wazi;

Bwana Kim kakosa busara na adabu anastahili kuchapwa tu kwa gharama yoyote . Tusubili kauli ya Trump the World Chief of Defensive Forces. Bwana mdogo Kim achapwe hadi chumbani kwake anakolala.
kakojoe ukalaliwe wewe. Hujui hata unachoongea
 
SASA hivi Japan wanampango wa kununua land based ballistic missile defense system kuongezea kwe systems zilizopo


Hawatapona,

Waambie kabisa kuwa kupoma kwa Japan ni kujiepusha kumzonga Kiduku.

Kim Jong-Un, . a.k.a Kiduku, sasa kaamua kujaribu mizigo inayosababisha hadi tetemeko la ardhi hii inaashilia kuwa Japan, atakuwa na maisha magumu sana mwisho wake nchi nzima itazama kwenye bahari kimya kimya.
Approximately, after 5 years to come maana ardhi yake yote ambayo ni visiwa itaanza kuzama baharini kimya kimya.

Ngoja wafunge mitambo, ili uzito wa mitambo uongezeke kwenye visiwa ili vizame kiurahisi zaidi.
 
Kim Jong-Un yeye kasema anatengeneza linalofika huko ndani kabisa. Na anasubiria hata jiwe tu liguse ardhi ya NK ili USA iwe magofu kwa mziki mnene wa ICBM.
Ni vzr kila nchi Kama hizo kuwa na silaha nzito ili kuwe na balance of power ila kusema USA atageuka jivu no, mbona USA ana ant ICBM nyingi tu na hajaanza kutengeneza leo, tokea miaka ya 1950 ,leo mnaisifia nk kuww na hydrogen bomb wakati USA aligundua ilo bomu mwaka 1952 iv baada ya kuituliza japan na atomic bomb 1945 sema USA wapo economical zaid dat y hawataki ground battle zaid ya negotiation ila wakiamua north korea wanakaa vzr tuuu!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lenu hamsomi, mngekuwa mnasoma historia ya N korea na Amerika mngejiuliza maswali mengi kuliko sasa...kama north korea aliiteka meli ya kivita ya marekani na qatu wake na ikakaa na hao watu mwaka mzima na marekani akakaa kimya sembuse leo ambapo marekani hajaguswa moja kwa moja....hao north korea wakaidungua ndege ya marekani na jamaa wakakaa kimya....hicho kigugumizi cha kuishambulia kina sababu...
 
Hawatapona,

Waambie kabisa kuwa kupoma kwa Japan ni kujiepusha kumzonga Kiduku.

Kim Jong-Un, . a.k.a Kiduku, sasa kaamua kujaribu mizigo inayosababisha hadi tetemeko la ardhi hii inaashilia kuwa Japan, atakuwa na maisha magumu sana mwisho wake nchi nzima itazama kwenye bahari kimya kimya.
Approximately, after 5 years to come maana ardhi yake yote ambayo ni visiwa itaanza kuzama baharini kimya kimya.

Ngoja wafunge mitambo, ili uzito wa mitambo uongezeke kwenye visiwa ili vizame kiurahisi zaidi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo bwana mdogo Kim hana nidhamu!!!! Mbona nchi nyingine hazina kiherehere kama yeye.
Mbwembwe zooooote za Kim nchi ina jumla ya barabarani za lami za kilometa 728 tu!!! Mpuuzi kabisa Kim!!Source: Aljazeera
Hivi mtu anamiliki bomu linaloweza pita anga la Japan bila shida halafu bado mnamuita masikini!!...
Lami ndo kigezo cha umasikini?..huku anatumia satelaiti yake!..
 
Kwa kitendo cha kibri cha Rais wa Korea Kaskazini cha kutest hii leo Hydrogen Bomb ambalo lina nguvu kubwa zaidi ya Atomic Bomb anastahili adhabu kali kuliko zote zilizowahi kutolewa Duniani. Trump na jumuiya ya kimataifa wamemvumilia sana bwana mdogo Kim Jong Un lakini sasa kanyea mbeleko.

Enough is enough North Korea Must be punished Severely!!!! No matter what!!! Dunia nzima including Tz tutakuwa hatarini kwa sababu ya mpuuzi Kim!!! Tatizo la kuwapa madaraka makubwa vijana wa umri mdogo kama Kim Jong Un unajidhihirisha wazi;

Bwana Kim kakosa busara na adabu anastahili kuchapwa tu kwa gharama yoyote . Tusubili kauli ya Trump the World Chief of Defensive Forces. Bwana mdogo Kim achapwe hadi chumbani kwake anakolala.
kwahiyo bora vijana kam bwana kim anaejielewa au bora mtu mzima asiyejielewa?
 
Ni vzr kila nchi Kama hizo kuwa na silaha nzito ili kuwe na balance of power ila kusema USA atageuka jivu no, mbona USA ana ant ICBM nyingi tu na hajaanza kutengeneza leo, tokea miaka ya 1950 ,leo mnaisifia nk kuww na hydrogen bomb wakati USA aligundua ilo bomu mwaka 1952 iv baada ya kuituliza japan na atomic bomb 1945 sema USA wapo economical zaid dat y hawataki ground battle zaid ya negotiation ila wakiamua north korea wanakaa vzr tuuu!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa taarifa za vyombo vya habari leo zilizotoka watu wajiulize maswali haya juu ya NK na Kim Jong-Un na fujo za kijinga za USA!

USA imetoa taarifa leo kuwa itatengeneza Anti -ICBM bora zaidi.

Ila hicho kimekuja baada ya juzi Kim Jong-Un na North Korea yake, kupitisha mzigo wake pale Japan bila mtambo wa kudungua kung'amua kinachotokea zaidi wameona kitu kikizama baharini.

Unajua kilichofatia kati ya USA, South Korea na Japan!?
Japan, waziri mkuu amelala juu ya Simu akimlilia USA na Trump kuhusu Kim Jong-Un kapitisha kitu ambacho hakijasomwa kwenye mitambo ya kudungua!

South Korea, amekataa mambo ya vita bali leo yameanza mazoezi ya kujaribu makombora yao yaani South Koreana Japan kwa pamoja.

Kwa hiyo, tambua kuwa NK na Kim Jong-Un, siyo nchi na mutu wa kisportsport.

Jiulize ni kwa nini, USA amekuwa analialia na North Korea na tangia Babu wa Kim Jong-Un hadi leo kama zaidi ya Miaka 40+ bila kumpiga au kumvamia kijeshi!?

Any way, Kim Jong-Un na NK siyo warabu ambao USA amekuwa akigalagaza kila siku.

Keep it up Kim Jong-Un, Boy!!
 
Tatizo lenu hamsomi, mngekuwa mnasoma historia ya N korea na Amerika mngejiuliza maswali mengi kuliko sasa...kama north korea aliiteka meli ya kivita ya marekani na qatu wake na ikakaa na hao watu mwaka mzima na marekani akakaa kimya sembuse leo ambapo marekani hajaguswa moja kwa moja....hao north korea wakaidungua ndege ya marekani na jamaa wakakaa kimya....hicho kigugumizi cha kuishambulia kina sababu...


Tatizo vijana na watu wa social media wanasema na kusikiliza redio na blogs za akina Gorge Bush, Obama na David Cameron. Watu ambao wanafanya kazi ya kuonesha ubaya wa NK na Kim Jong-Un ila ukweli ni tofauti.

Pia, watu ni wadhaifu na wazembe kusoma wanasubiria maandiko ya wazungu koko ambao walisema Gaddafi kuwa ni Dictator while, Gaddafi alikuwa ni Neema na Rehema kwa Wana-Libya.

Any way, keep it up Kim Jong-Un Boy.
 
Causes of world wars
Nationalism
Race of power
Economic interest
Ongezeni na zingine
 
Hawatapona,

Waambie kabisa kuwa kupoma kwa Japan ni kujiepusha kumzonga Kiduku.

Kim Jong-Un, . a.k.a Kiduku, sasa kaamua kujaribu mizigo inayosababisha hadi tetemeko la ardhi hii inaashilia kuwa Japan, atakuwa na maisha magumu sana mwisho wake nchi nzima itazama kwenye bahari kimya kimya.
Approximately, after 5 years to come maana ardhi yake yote ambayo ni visiwa itaanza kuzama baharini kimya kimya.

Ngoja wafunge mitambo, ili uzito wa mitambo uongezeke kwenye visiwa ili vizame kiurahisi zaidi.

Kwa hiyo North Korea haiwezi kuzamishwa? Tena Pyongyang??? Tawi ulilolikalia unalikata kwa msumeno huku ukicheeeekaa!!!! Kumbe unajikomoa!!![emoji16][emoji16][emoji16]
 
kwahiyo bora vijana kam bwana kim anaejielewa au bora mtu mzima asiyejielewa?

He don't know how to prioritize His National Issues!!! Kiongozi umekomaa na nuclear bombs wakati Wananchi wako wanaishi maisha ya umaskini wa kufa mtu!!! Dogo Kim Pumbavu sana kawawekea wananchi wake hadi style ya kunyoa!!!!! Anafanya human experiment!!! Huyu ni muuaji!!! Hastahili kuwepo kwenye dunia hii ya leo iliyostaarabika.
 
Back
Top Bottom