SirChief
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 3,304
- 3,380
USA the capitalist.Lengo kubwa ni kufanya mvutano huu kuwa fursa ya kibiasha na si vingnevyo.Mkampuni ya ulinzi ya marekani hisa zao zimepanda mara dufu katika mvutano huu.Juzi marekani imepitisha multi billion deal kuwauzia silaha nzito S.Korea.Just connect the dots.Utajua huu mvutano unatizamwa kivingine sana kwa wenzetu.Sisi tutabaki kubishana tu humu kwamba nani mbabe sijui na nini.Ila mabepari wanafahamu nini wanafanya.