Noma,nou'rma??????

Hili neno maana yake ni hatari, hali si shwari, mikikimikiki, tafrani, mswano. Chimbuko la neno hili la kiswahili ni ibuko au neno la msimu na hasa likitumiwa na vijana na lilichochewa sana kuenea na gazeti pendwa la SANI katika ucheshi wa kiswahili. Ni ubunifu wa maneno ya msimu kama chakachua, ndukinaa, etc. Naomba kuwakilisha
 
Back
Top Bottom