Hili neno maana yake ni hatari, hali si shwari, mikikimikiki, tafrani, mswano. Chimbuko la neno hili la kiswahili ni ibuko au neno la msimu na hasa likitumiwa na vijana na lilichochewa sana kuenea na gazeti pendwa la SANI katika ucheshi wa kiswahili. Ni ubunifu wa maneno ya msimu kama chakachua, ndukinaa, etc. Naomba kuwakilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.