Mkuu, Hapa tunazungumzia aina ya simu iliyopo sokoni au bidhaa zote za Nokia? Kuna sehemu nimetamka Nokia wana bidhaa mbovu? Anywaymkuu nahisi umeanza kutumia smartphone miaka hii 3 iliyopita,nokia sio simu tu anafanya bali ni vitu vingi anatengeneza ebu google neno "withings" utakubali vitu anavyodeal navyo nokia
sababu reviewer wana avoid kuzieka lumia 1020, nokia 808 kwenye review zao ila ukweli ni kwamba google pixel ni mtoto sana na ni camera dhaifu mbele ya hao mabwana hapo juu
PureView vs the Pixel: the 808, Lumia 950/1020 vs the Google Pixel
angalia comparison hio
1. tafuta site unayopenda wewe inayoreview simu hizoNingependa an unbiased comparison kitu ambacho najua siwezi pata toka site inayoitwa all about Symbian basically nokia fan boys watakuwa wana favour brand yao.
I shall go for it Nokia Connecting people1. tafuta site unayopenda wewe inayoreview simu hizo
2. review ya jamaa ipo wazi hafichi kitu angalia hata kwenye comment huwa user wanaomiliki hizo huwa wanapost mini review zao
3. steve ni guru wa camera ameanza kureview zaidi ya miaka 10 iliopita wewe ndio wa kwanza kusikia unasema kuna bias, kuna hata kitu umeona kuna kidalili cha upendeleo?
Ni pre-order ambayo imefika 250000 ya watu ambao wameshalipa ada dola 9 kwa ajili ya nokia 6 kwakeli ni mwanzo mzuriHii simu imeuza copy 250000 kabla hata ya masaa 24 ikumbukwe hiyo ni Launching tu..
Hiyo ni kwa dunia nzima au ni china tu?Ni pre-order ambayo imefika 250000 ya watu ambao wameshalipa ada dola 9 kwa ajili ya nokia 6 kwakeli ni mwanzo mzuri
Sent from mTalk
hiyo ni kwa china tu mkuu na mauzo yataanza ramsi tar. 19:01:2017 alafu wataanza kutoa version Kwa ajili ya soko la ulaya na marekaniHiyo ni kwa dunia nzima au ni china tu?
mkuu iphone 6 ilitoka mwaka 2015mnakumbuka mwaka 2014 wakati iphone6 ikizinduliwa, watu walikesha wakiisubiri, wanatamani waone hii nokia ina nn maana waliimis
ilitoka September 2014mkuu iphone 6 ilitoka mwaka 2015
Hapo kwenye Adroid watatupata wengi coz tuliachana na Nokia kwasababu ilikua haina AndroidKampuni ya HMD global leo imezindua simu mpya ya Nokia 6 huko china.
Nokia 6 Specifications:
- 5.5-inch FullHD screen (2.5D glass, Gorilla Glass 3)
- 154 x 75.8 x 7.85 mm (camera bulge 8.4 mm)
- Qualcomm Snapdragon 430
- 4GB RAM
- 64GB internal + MicroSD
- 16MP back and 8MP front camera
- 3000mAh
- Dolby Atmos
- 6000-series aluminum unibody
- Android 7.0 Nougat
bei yake ni dola 245, around 540,000 za kitanzania. ila kwa sasa imezinduliwa china tu masoko mengine bado
Ina uzito wa robo kiloZiko nyingi Mkuu L8+ ina 5050Mah
nokia hupenda kuziita flagship zake kwa kutumia namba 8 toka zamani,team ya sales & marketing ya nokia wamedhamiria kuwabana mbavu iphone na samsung, tukumbuke kuwa mwaka huu iphone 8 na samsung S8 zitatoka ndio maana Nokia nae atakuja NOKIA 8 aka nokia supreme Ili kuiteka namba 8 sokoni
vita hii ya mauzo ndio iliyompa nafasi samsung kuuza bidhaa zake kwa mgongo wa iphone
iphone 3 vs S3
iphone 4 vs S4
iphone 5 vs S5
iphone 6 vs S6
iphone 7 vs S7
mwaka huu iphone 8 vs S8 vs nokia 8(kazi ipo)
correction andika connectingNokia original Finland...
Walibugi kushare na Ericsson wakaingia sipo...
Labda China watawarudisha kwenye soko...
Welcome back Nokia connection people..