android hajampita wp kaka wp inakua kwa kasi kuliko soko la dunia nzima. kutoka unit 13m mpaka 30m ni zaidi ya asilimia 200.
kaka lumia 520 alone imeuza zaidi ya unit milion 15 na sababu hizi.
1. bei rahisi
2. app za nokia
kuna.mtu anakua na galaxy s4 lakini ananunua lumia 520 sababu ya app za nokia tu. kama matumizi yako ya simu ni kucheza game huwezi jua hili na always utapinga kuwa mtu hawezi nunua simu kwa ajili ya apps fulani hii ni mifano hai.
kaka umekiona hiko kifaa? kinaitwa garmin ni portbale gps kinafanya kazi kama ramani yako bila internet just gps tu. bei yake ni dola 199.
nokia lumia 520 inafanya kazi zote kama garmin kupitia here maps ina gps na ramani zake zinafanya kazi offline. sasa nambie wewe utatoa dola 199 kununua garmin ambazo ni ramani tupu au utatoa dola 149 kununua lumia 520 ambayo unapata feature za garmin na simu? be honest.