NOKIA amefeli sana kwa simu za Lumia WP

NOKIA amefeli sana kwa simu za Lumia WP

hapo hamna ushindani android hamuwezi windows android ashindane na huyu huyu windows phone

.
najua hata hii tu ungebisha
.
images

.
ngoja niweke hii
.
images

.
.
.
 
Hizi simu bana majanga kweli
1. Hazina option na 3g only zina highest connection ambayo unachagua 3g lkn hata km uko katikati ya jiji inakuletea 2g tu

2. Network (internet) sharing haikubali kila cku unaambiwa current unavailable hata ikikubali ni dakika tano inakata.

3. Internet yake haipo stable hata kama kuna 3g connection hutaweza kufungua hata Google hadi uzime uwashe au usubiri sana.

4. Huwezi ukadownload file au program afu uje uihamishie kwenye computer. Inakubali kudownload nyimbo, pdf au office files.

5. Ila chaji inakaa sana lkn syo nzur kwa mtu mpenda net.

Sikuelewi, natumia Lumia kwa zaidi ya mwaka sasa na hunihamishi kwa kweli! Nadhani hujaielewa vizuri..
 
Mimi nafurahia sana Lumia yangu na kamwe sitarudi kutumia simu ya android. Simu yangu ya mwisho ya android ilikuwa Samsung galaxy s2.

Sent from my Lumia phone using Tapatalk
 
m natumia hizi window phone na nafkiri kitu nnachomiss ni application iya jamiiforums tu kwenye store....nahisi hili likifanyiwa kazi kwangu itakuwa ng'aring'ari; pia suala la internet mi sioni kama lina mashiko kwa kweli mi naona speed ya hizi mashine kwenye internet huwezi fananisha kabisa na simu za android, hizi ni moto wa kuotea mbali
 
Mimi nafurahia sana Lumia yangu na kamwe sitarudi kutumia simu ya android. Simu yangu ya mwisho ya android ilikuwa Samsung galaxy s2.

Sent from my Lumia phone using Tapatalk
umeipataje jf kwenye tapatalk mkuu..
 
wele pro Android hawataki kubadirika, maisha mazuri sasa ni Windows Phone. Hii ni kwa wajanja tu.

.
Kwa matumizi yako ww ni sahihi....
.
Ila we jiulize kwann Nokia wanaamia android?
.
 
.
Kwa matumizi yako ww ni sahihi....
.
Ila we jiulize kwann Nokia wanaamia android?
.

Kama kutoa simu za Android ndio maana yake 'kuhamia' basi Samsung walishahamia kwanza kwa Windows phone, au hujui kuwa Samsung pia wana Windows phones mkuu?
 
Kweli mkuu nokia anakuja android ! I wish chief mkwawa, angekuja hapa!!

kaka android za nokia unaweza ziita missing link.

wakati lumia 520 tanzania inauzwa 250,000 hadi 300,000 hii ndio simu ya bei rahisi zaidi kwenye smartphone za nokia. na kutokana na minimum specs za wp (krait 1ghz) ni ngumu kutengeneza bei ya chini zaidi ya hiyo.

hivyo hapa nokia wakaeka link baina ya wp na feature phone kuwa hii forked android. nokia xl ambayo ndio ya bei ghali kuliko zote haifiki 250,000 huwezi sema hapo nokia amehamia android. hivyo hizi zitanunuliwa na watu wanaotaka smartphone za 150,000 hadi 250,000.

halafu pia watu wananunua simu ya za nokia kwa ajili ya
1. apps za nokia ambazo ni unique huwez zipata kokote duniani.
2. camera za nokia (pureview)
3.wireless charging
4. build quality
5. screen yao (super sensitive)
na vitu vifananiavyo. hizi simu ni za bei rahisi lakini zinamiss vitu vingi vizuri vya nokia(kasoro build quality) hivyo sidhani kama nokia inahamia android bila kueka silaha zake kuu.

siku ukiona android ya nokia ina pureview basi jua nokia kahamia android
 
mbona kawaida tu. samsung ana simu za windows mobile, htc pia wanazo..

Mkuu nokia ali underestimate wapinzani wake akidhani kuwa hana cha kijufunza kutoka kwao, mind you nokia ni kampuni kubwa ya simu.
Move ya kuja android inatafsiriwa na wataalamu kama maamuzi magumu kwa nokia na imechelewa sana.
 
"Sory nita tumia KISWA-ENGLISH kidogo)
Mkuu umezungumzia juu juu saana! me mwenyewe na Lumia 820, ila mateso niliopata mpaka sahiv hapa natumia mchina na imesha nipotezea hela nyingi saaana.
MOJA: Ili pasuka kioo kidod tuu pale kwenye alama ya window ika fell yote, nikaenda weka kioo kipya, maaajabu kioo chake original mpaka labda uagize ila vii hivi vingine ni shida, vinarudisha mwanga (Reflection) na slaiding yake ovyo, mwisho ikwa ina ji slaiding yenyewe kama imepagawa.

Nika amua siku fanya kufanya reseting nikidhan labda setup, toooba ndio shida ikaonezeka mara 2, ikiwa ina waka ila haikubali ku slaiding wala nini, nikarudisha kwa fundi nika flash, ila kioo ndio shida mpaka sasa fundi ameweka vioi 3 lakin vyote vina goma !!!

Sharing ya internet ndio shiiiiiida kabisa, haikubali kabisa!! wahiiiiii! i hate now NOKIA.
 
Mkuu nokia ali underestimate wapinzani wake akidhani kuwa hana cha kijufunza kutoka kwao, mind you nokia ni kampuni kubwa ya simu.
Move ya kuja android inatafsiriwa na wataalamu kama maamuzi magumu kwa nokia na imechelewa sana.

kwa sisi fans nokia kutotengeneza simu ni jambo gumu kulifurahia lakini since walipoachana na meego 2010 na ku adapat wp na kumueka elop kama ceo nokia walijiandaa kujiuza kwa ms.

nokia ilikua na part 4 tatu zinaingiza faida na moja inaingiza hasara hadi 1.7b usd. na tayari hio part (d&s) inayoingiza hasara ishauzwa microsoft.

hivyo nokia atengeneze simu yoyote hio ni juu ya microsoft na si nokia. na analyst anaesema ni too late huyo si analyst ni fanboy tu sababu si nokia ni microsoft anaekwepa aibu ya kutumia linux na kumtumia nokia kama proxy tu
 
nokia kama ccm hawana jipya

nokia ndio genious wa simu huwezi tengeneza simu bora bila kutumia ugunduzi wake ndio maana kampuni kubwa zote apple, samsung, blackberry na microsoft wanamlipa nokia ili kutumia patents zake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom