somebarry
Member
- Apr 10, 2014
- 5
- 0
nokia ndio genious wa simu huwezi tengeneza simu bora bila kutumia ugunduzi wake ndio maana kampuni kubwa zote apple, samsung, blackberry na microsoft wanamlipa nokia ili kutumia patents zake.
Kama zipi?
nokia ndio genious wa simu huwezi tengeneza simu bora bila kutumia ugunduzi wake ndio maana kampuni kubwa zote apple, samsung, blackberry na microsoft wanamlipa nokia ili kutumia patents zake.
Tumieni iphone no stac no virus ipo speed net
Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
Tumieni iphone no stac no virus ipo speed net
Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
Hahaha Eti "sent from my iPhone 5" 😂😂
nikikwambia kutype kwenye iphone ni rahisi kuliko simu nyingi huwezi kuamini jaribu siku moja. moja kati ya vitu ninavyopenda kwenye iphone ni ile responsive ya keyboard yake.
Kama zipi?
Mwenzenu Uzee unaingia, hadi nivae miwani ati, hahahaaaaa..... Asante kwa kunishauri ila Screen ndogo - BIG NO.
Nikiamua basi sanasana ntachukua walau inch. 5.5 minimum. Iphone ntasubiri sana maana nikichungulia GSMARENA, sioni kiti kipya chochote kutoka kwao. Pia kwa sababu siishi USA, Iphone haina faida sana kwangu huku Sikonge.
kaka mimi nina experience na hivi vitu kioo kikubwa sio urahisi wa kuandika tu bali ile responsive pia inachangia. ndio maana nakwambia bora utafute flagship za zamani kama hutak kutumia hela nyingi. kuna simu zina vioo vikubwa ila sometime unagusa lakin hata kioo hakirespond inakuwa tabu.
Nafikiri ntanunua Tablet kwanza, nimeamua ya Inch 7 au 8. Tatizo ni kuwa, laptop inasumbua safarini kwani ni inch.17.3 ambalo kwa mfano ukikaa kwenye Seat za Bus au ndege kule Third Class ya ndege, PC inawagusa hadi jirani zako.
Simu ntanunua ila probably itakuwa min. inch5.5 na kwenda mbele ila iwe Dual Sim kama Note 3 ya Samsung. Haya makampuni ya hivyo yapo mengi kama ulivyosema ila tatizo siyo Screen na respond kwani nitanunua mkoba wake pia wenye ku-dock Keyboard kabisa. Shida kubwa kwangu ni Battery. Hizi za onvyo, zinadumu muda mfupi sana na mie ningelipenda walau 8 hrs kama nimezima Internet.
![]()
Nafikiri ntanunua Tablet kwanza, nimeamua ya Inch 7 au 8. Tatizo ni kuwa, laptop inasumbua safarini kwani ni inch.17.3 ambalo kwa mfano ukikaa kwenye Seat za Bus au ndege kule Third Class ya ndege, PC inawagusa hadi jirani zako.
Simu ntanunua ila probably itakuwa min. inch5.5 na kwenda mbele ila iwe Dual Sim kama Note 3 ya Samsung. Haya makampuni ya hivyo yapo mengi kama ulivyosema ila tatizo siyo Screen na respond kwani nitanunua mkoba wake pia wenye ku-dock Keyboard kabisa. Shida kubwa kwangu ni Battery. Hizi za onvyo, zinadumu muda mfupi sana na mie ningelipenda walau 8 hrs kama nimezima Internet.
![]()
Kama unataka smartphone inayokaa na chaji jaribu lenovo p780, double line 4000amh battery, hutojuta.. ..mimi ni mtumiaji wa kawaida with 3g data always on ,email ,sycs inakaa masaa 48-55, kama ukiwa unatumia data kwa kuvizia, inakaa mpaka siku tatu. Itaulazimu uiagize online, ilinigharimu $300 mpaka dar.
hizo keyboard za simu na tablet za android nilizoziona bongo ni majanga zina waya mwembamba kama earphone. kwa tablet sasa hv hutapata nzuri kama dell venue 8 pro inakubali kila kitu cha pc kuanzia software hadi hardware. pia chaji ni masaa 10.
Ndo ukweli
Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
hakuna smartphone ya sasa ilio na speed ndogo ya internet nyingi zina 21mbps na ikishuka sana ni hio 7.2 mbps mtu anaesema simu flani ipo slow kwenye internet either ni uzembe wake au mtandao wake upo slow
Kwa Dar duka la Lumia liko maeneo gani? Maana nimeshawishika na Lumia 520, hila bado naipambanisha na Y300.
Nimekukubali kaka ,wanasema unaitetea nokia Yea sure unaitetea but with a lots of facts , evidence n solutions Keep it up mr nokiakaka why mnanunua windows phone halafu mnatafuta support kwenye website zenye watu wanaotumia android? lazima utaichoka sababu imetengenezwa kufanya vitu ambavyo android haiwezi kufanya sasa wewe kama unataka windows phone iwe android utakesha. sababu before kuomba msaada tayari ushaconclude hivyo ulivyovitaja havipo.
1. kueka 3g only.
android yenyewe imepata juzi tu hii option android zote za nyuma zilikua hamna sishangai os mpya ikawa haina. lakini kuonyesha kwamba hujatafuta solution kwenye site za windows phone ni kwamba hichi kitu ni common na kina solution kueka 3g only
nakushauri nenda wpcentral utapata solution ya kila namna. na solution yako ya kueka 3g only hii hapa.
Lumia 1020 ##3282 field test menu - Windows Phone Central Forums
2. swali la internet sharing kukataa solution yake ni hao hapo juu yaani field test kama umefanikiwa kueka 3g only ujue pia hapa itakubali. na pia kuna case watu wananunua simu za atnt au verizon au vodaphone mitandao ya majuu wanalock tethering ikija huku inakataa hadi uifanyie tweak.
3.kaka ukisema internet haipo stable ujue simu yako ndo ina matatizo sababu ni hii. lumia 1020 inatumia snapdragon s4 chip hii chip inatumika kote kote kwenye android na wp. adapter ya network ya lumia 1020 ni sawa na ya moto x, sawa na ya hizi xperia zote sawa na za samsung na wengine. huenda eneo lako huna network fanya research moja change line tigo, voda na airtel ujue tatizo ni simu au mtandao.
4. kaka ukidownload file ambalo halitambuliki kwenye windows phone linapotea ila bado lipo kwenye simu, unapoconect kwenye computer simu yako inakuwa mass storage utaona mafile yote. ukitaka kudownload mafile yaresume na mafile makubwa tumia uc browser halafu ukiconect simu na pc utaona mafolder yanatokea
nenda hapa kuona mass storage
WP8 Drag & Drop File Storage Detailed : My Nokia Blog