NOKIA amefeli sana kwa simu za Lumia WP

NOKIA amefeli sana kwa simu za Lumia WP

Kweli internet sharing kwenye WP ni majanga Mie ilikuwa inakubal mwanzo badala ya kuchange SIM card ikawa chenga nikaamua Ku restore phone ikakubali ila nilivyobadili SIM card ikawa majanga tena,

Kwa upande wa kuforce 3g mwanzo ilikuwa inakubal ila baada ya upgrade to amber hiyo option wametoa

Feature ninayoitaka mostly na haipo kwenye WP ni file manager iliyokamilika.

By the way WP naipenda ipo unique, simple and fast (smooth UI) and I don't think I will move to other platform soon


Sent from my Nokia Lumia
 
Kweli internet sharing kwenye WP ni majanga Mie ilikuwa inakubal mwanzo badala ya kuchange SIM card ikawa chenga nikaamua Ku restore phone ikakubali ila nilivyobadili SIM card ikawa majanga tena,

Kwa upande wa kuforce 3g mwanzo ilikuwa inakubal ila baada ya upgrade to amber hiyo option wametoa

Feature ninayoitaka mostly na haipo kwenye WP ni file manager iliyokamilika.

By the way WP naipenda ipo unique, simple and fast (smooth UI) and I don't think I will move to other platform soon



Sent from my Nokia Lumia
Sent from my Nokia Lumia mbna hawa jamaa hawana signature kwenye JF ww umeitoa wap mkuu!?
 
wp_ss_20140118_0001.png
 
Simu yangu ya mwisho ya Android ilikuwa ni Samsung Galaxy 2. Hiyo ilizimika ghafla bila kuwaka tena. Nikaona nijaribu simu ya Windows. Baada ya kutumia simu za windows, sitarudi tena kwenye Android maana kila kitu kinafanya kazi vizuri bila mizinguo.

Sent from my Lumia phone using Tapatalk
 
mkuu hizo ##3282 haifanyi kazi uki upgrade kwenda W8 ni possible ikiwa na W7.

kaka nimekupa link ya lumia 1020 hakuna simu ambayo ambayo watu wame upgrade toka wp7 kwenda wp8. simu za wp8 ni nyengine na za wp7 ni nyengine hizi ni os 2 tofauti zenye kernel tofauti.
 
kutweak ndo kufanyeje kaka? Na inafanyikaje?

kutweak ni kubadili kitu kidogo ili kifanye vizuri. mfano hapo we huna option ya 3g only ukibonyeza hio namba ukaieka 3g only hapo umetweak.
 
kutweak ni kubadili kitu kidogo ili kifanye vizuri. mfano hapo we huna option ya 3g only ukibonyeza hio namba ukaieka 3g only hapo umetweak.

okay kaka goja nicheki hiyo website vizur!
 
Hizi simu bana majanga kweli
1. Hazina option na 3g only zina highest connection ambayo unachagua 3g lkn hata km uko katikati ya jiji inakuletea 2g tu

2. Network (internet) sharing haikubali kila cku unaambiwa current unavailable hata ikikubali ni dakika tano inakata.

3. Internet yake haipo stable hata kama kuna 3g connection hutaweza kufungua hata Google hadi uzime uwashe au usubiri sana.

4. Huwezi ukadownload file au program afu uje uihamishie kwenye computer. Inakubali kudownload nyimbo, pdf au office files.

5. Ila chaji inakaa sana lkn syo nzur kwa mtu mpenda net.

wewe labda simu yako kimeo lumia internet yake ni fast balaa pages zinafunguka ndan ya sekunde
 
kaka why mnanunua windows phone halafu mnatafuta support kwenye website zenye watu wanaotumia android? lazima utaichoka sababu imetengenezwa kufanya vitu ambavyo android haiwezi kufanya sasa wewe kama unataka windows phone iwe android utakesha. sababu before kuomba msaada tayari ushaconclude hivyo ulivyovitaja havipo.

1. kueka 3g only.
android yenyewe imepata juzi tu hii option android zote za nyuma zilikua hamna sishangai os mpya ikawa haina. lakini kuonyesha kwamba hujatafuta solution kwenye site za windows phone ni kwamba hichi kitu ni common na kina solution kueka 3g only

nakushauri nenda wpcentral utapata solution ya kila namna. na solution yako ya kueka 3g only hii hapa.
Lumia 1020 ##3282 field test menu - Windows Phone Central Forums

2. swali la internet sharing kukataa solution yake ni hao hapo juu yaani field test kama umefanikiwa kueka 3g only ujue pia hapa itakubali. na pia kuna case watu wananunua simu za atnt au verizon au vodaphone mitandao ya majuu wanalock tethering ikija huku inakataa hadi uifanyie tweak.

3.kaka ukisema internet haipo stable ujue simu yako ndo ina matatizo sababu ni hii. lumia 1020 inatumia snapdragon s4 chip hii chip inatumika kote kote kwenye android na wp. adapter ya network ya lumia 1020 ni sawa na ya moto x, sawa na ya hizi xperia zote sawa na za samsung na wengine. huenda eneo lako huna network fanya research moja change line tigo, voda na airtel ujue tatizo ni simu au mtandao.

4. kaka ukidownload file ambalo halitambuliki kwenye windows phone linapotea ila bado lipo kwenye simu, unapoconect kwenye computer simu yako inakuwa mass storage utaona mafile yote. ukitaka kudownload mafile yaresume na mafile makubwa tumia uc browser halafu ukiconect simu na pc utaona mafolder yanatokea

nenda hapa kuona mass storage
WP8 Drag & Drop File Storage Detailed : My Nokia Blog

Sasa hapo ktk kutweak ndo nataka unieleweshe vizuri. Simu yangu upande wa hotspot inagoma kabsa yani. Ina maana kwamba walishablock mtandao wa nje kama ulivyosema. Naweza kutweak ili kuondoa hili ttzo au kutweak ndo nini hasa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom