Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,427
- 10,749
Hapa ni maeneo ya Dakawa, kuna Noah iliyokuwa imejaza abiria kama kawaida yake imegongana na gari la mizigo. Noah imekua kama chapati, maiti wamepangwa barabarani.
Hata kama Noah zimeruhusiwa kubeba abiria tuwe makini na abiria si busara kukubari kubebwa ktk buti na kujazwa kama maboga! Inatisha na inasikitisha sana!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Hata kama Noah zimeruhusiwa kubeba abiria tuwe makini na abiria si busara kukubari kubebwa ktk buti na kujazwa kama maboga! Inatisha na inasikitisha sana!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums