NOAH yaua abiria wote!

NOAH yaua abiria wote!

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,427
Reaction score
10,749
Hapa ni maeneo ya Dakawa, kuna Noah iliyokuwa imejaza abiria kama kawaida yake imegongana na gari la mizigo. Noah imekua kama chapati, maiti wamepangwa barabarani.
Hata kama Noah zimeruhusiwa kubeba abiria tuwe makini na abiria si busara kukubari kubebwa ktk buti na kujazwa kama maboga! Inatisha na inasikitisha sana!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Hapa ni maeneo ya Dakawa, kuna Noah iliyokuwa imejaza abiria kama kawaida yake imegongana na gari la mizigo. Noah imekua kama chapati, maiti wamepangwa barabarani.
Hata kama Noah zimeruhusiwa kubeba abiria tuwe makini na abiria si busara kukubari kubebwa ktk buti na kujazwa kama maboga! Inatisha na inasikitisha sana!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Duh. Poleni sana wahusika. Mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi.
 
Duh!!haya mambo kwa kweli Mungu atunusuru,nilikuwa na ziara kwenye jimbo la maghembe pale mwanga kuna noah za kuoandisha milimani huko ugweno kwa kweli tulijazwa nikapiga kelele wale wapare wakanishangaa wewe vp mbona unatuletea mambo yako ya dar hapa,abiria walikaa mpaka kwenye boot,mbele kwa dereva watatu na dereva wanne mara safu zote na kwenye booty na mizigo juu!!Niliogopa sana kule milimani kwa kweli.Askari wanaona wala hawawafanyi kitu.
 
Aiseee n hatari..ht kusini ni hivyo hivyo...nilsema sitorudi tena kule...ndani ya noah mpk kwa buti abiria...mizigo...kibaoo...na zinakimbia balaa
 
Mkuu ilikuwa inatoka wapi maana ni habari mbaya na wafiwa poleni

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
RIP.inatisha sana aisee dah>>>>>>>..............masikini always ni victims
 
bwana alitoa na bwana ametwaa...
jina la bwana lihimidiwe
mwenyezi mungu azilaze roho za marehem pema peponi
ameeeeeni
 
Hapa ni maeneo ya Dakawa, kuna Noah iliyokuwa imejaza abiria kama kawaida yake imegongana na gari la mizigo. Noah imekua kama chapati, maiti wamepangwa barabarani.
Hata kama Noah zimeruhusiwa kubeba abiria tuwe makini na abiria si busara kukubari
Yukubebwa ktk buti na kujazwa kama maboga!
Inatisha na inasikitisha sana!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Daah! too sad, ilikuwa inatokea dumila au morogoro, maana nshawahi kupanda hizo noah,zinakuwa kiatu sana! RIP marehemu wote.
 
Inatisha sana poleni wafiwa na mwenyezi mungu awapokee na kuwahifadhi pahala Pema wote waliotangulia mbele ya haki
 
Mkuu ilikuwa inatoka wapi maana ni habari mbaya na wafiwa poleni

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Mkuu ilikuwa inatokea Dodoma to Morogoro jamaa akaivaa gari ya mizigo. Hizi Noah majanga bandugu, hakuna level sit.


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom