Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,427
- 10,749
- Thread starter
- #21
Kinachokera dreva anaweka buku 2 za trafiki na hakuna issue ya level sit. Yaani mkijaa hadi kwenye tank la mafuta trafiki akishapewa buku 2 yake wakat mwingine jero atawaacha mkafie mbali na dreva wenu! We maiti zinatolewa then watu wanashangaa, hivi wote walikuwa in this Noah only?Aiseee n hatari..ht kusini ni hivyo hivyo...nilsema sitorudi tena kule...ndani ya noah mpk kwa buti abiria...mizigo...kibaoo...na zinakimbia balaa
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums