Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,105
- 136,779
If history is any guide, this no reform, no election craze is headed down the path of doom, as did others such as UKAWA.
Watanzania hatuwezi kabisa ku sustain indignation.
Hii kampeni inaenda kufa tu kama ilivyokufa UKAWA.
Nani anaikumbuka UKAWA? Ilishasahaulika kabisa katika msamiati 🤣. Oh, na yale maandamano yao [ambayo hayakutokea] nani anayakumbuka?
Pia, wakati wa Magufuli kuna baadhi ya watu walianza kuzichoma kadi zao za CCM. Wengi wao walifanya hivyo kwenye mitandao ya kijamii.
Leo hii wako wapi hao watu? CCM ilipoteza wanachama wangapi kutokana na kadi zake kuchomwa?
Idadi kubwa sana ya Watanzania hata hawaelewi maana ya hiyo slogan ya NRNE.
Watanzania walio wengi wala hawaoni tatizo lolote lile lililopo katika uongozi wa nchi.
Wengi wao wanaamini kila kitu ni hisani ya Rais. Ujinga bado ni mwingi sana.
Vilevile, wengi hata hawajui kiini cha matatizo ni nini.
Hata wale wenye uelewa mdogo, nao wame stuck na mtu mmoja tu ambaye hata hayupo tena, kuwa yeye ndiye chanzo cha matatizo yote yaliyopo.
Naomba muikumbuke hii mada ili yakishatimia, tuje tukumbushane vizuri kwa rejea.
NRNE ni movement mfu!
Watanzania hatuwezi kabisa ku sustain indignation.
Hii kampeni inaenda kufa tu kama ilivyokufa UKAWA.
Nani anaikumbuka UKAWA? Ilishasahaulika kabisa katika msamiati 🤣. Oh, na yale maandamano yao [ambayo hayakutokea] nani anayakumbuka?
Pia, wakati wa Magufuli kuna baadhi ya watu walianza kuzichoma kadi zao za CCM. Wengi wao walifanya hivyo kwenye mitandao ya kijamii.
Leo hii wako wapi hao watu? CCM ilipoteza wanachama wangapi kutokana na kadi zake kuchomwa?
Idadi kubwa sana ya Watanzania hata hawaelewi maana ya hiyo slogan ya NRNE.
Watanzania walio wengi wala hawaoni tatizo lolote lile lililopo katika uongozi wa nchi.
Wengi wao wanaamini kila kitu ni hisani ya Rais. Ujinga bado ni mwingi sana.
Vilevile, wengi hata hawajui kiini cha matatizo ni nini.
Hata wale wenye uelewa mdogo, nao wame stuck na mtu mmoja tu ambaye hata hayupo tena, kuwa yeye ndiye chanzo cha matatizo yote yaliyopo.
Naomba muikumbuke hii mada ili yakishatimia, tuje tukumbushane vizuri kwa rejea.
NRNE ni movement mfu!
