No one can afford me

No one can afford me

Status
Not open for further replies.
hiyo nzuri yaani au azidisable tu pm tatizo nae mashauzi kibao wanaume wenyewe wa humu wakware.
Aache mashauzi aone wenzake tuna miezi hatupokei pm

nimekuPM tayari@amu
 
hey mijanaume munikome muniwache kunipm.
I am very expensive clijui jua la bongo.
Huwaga nawapaga my life stories to release the burden and am not looking for mens or sexmate.
And those pm's goes directly to my muheshimiwa email.
Munikome muniwache

uanze kukoma ww kwanza ku2postia ----- humu nyambafu,
m2 mwenyewe sura ka'kipago cha manati,nyuma plainpaper naweza andika notes,kichwa km welbek wa manure..khaa
 
hao wabomoaji ni wachache, ila wana nguvu kuliko ufikiriavyo, yai mmbomoaji mmoja ni sawa na idadi ya watu wa mko mmoja kama wa katavi ... uadhani leo hii king maker akiamua kututia adabu atashindwa?

Hahahaha ila kama wabomoaji wachache kuliko wajengaji then wajengaji wanaweza kuzidi nguvu
 
hao wabomoaji ni wachache, ila wana nguvu kuliko ufikiriavyo, yai mmbomoaji mmoja ni sawa na idadi ya watu wa mko mmoja kama wa katavi ... uadhani leo hii king maker akiamua kututia adabu atashindwa?

Hapo sasa, jipeni moyo one day yesss
 
hey mijanaume munikome muniwache kunipm.
I am very expensive clijui jua la bongo.
Huwaga nawapaga my life stories to release the burden and am not looking for mens or sexmate.
And those pm's goes directly to my muheshimiwa email.
Munikome muniwache
Hakuna mwanamke expensive, kila mmoja ni affordable, kumbuka mwanamke hashawishiwi na hela na mali bali na uwezo wa kudundwa... wewe sema tu umeolewa unajiheshimu basi watu wanaweza kukuelewa, sawa dadangu..??
 
Huu ugomvi wa magreda

Utabondwa hadi ufe kwa maneno tu

Angejua wanaume wa humu ni kuchomeka na kuchomoa walaaa........ tena wengi (si wote) full manjaa, watu wengi wenye hela zao wako busy na mabisness yao huko mtaani hawana hata muda wa kung'aa macho huku JF (kama haamini basi).
 
hey mijanaume munikome muniwache kunipm.
I am very expensive clijui jua la bongo.
Huwaga nawapaga my life stories to release the burden and am not looking for mens or sexmate.
And those pm's goes directly to my muheshimiwa email.
Munikome muniwache

are you trying to attract pm from men...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom