No internet Connection, Kwanini wakati Data ipo active?

Ukiona APN imekataa
Kwenye huo mtandao
Sim card kwenye internet
Kuna Auto , 4G , 3G , 2G chagua 3G kama imeshindikana kabisa
 
Fuata ushauri wa juu kwanza Voda wap ama voda web ikiwa imesetiwa kama Apn inaweza sababisha hilo tatizo.

Unatakiwa kwenye apn uweke internet
Mkuu hili tatizo limeibuka tu from nowhere. simu ilikua sawa kabisa kabla.

siku ya 4 leo halikai sawa.

Nimefuata kila aina ya ushauri humu kuanzia setting za APN, zima simu na kuwasha, n.k ila bado shida iko pale pale
 
Nunua bando.

Mitandao ya simu wanazingua sometimes kama ulikuwa na bando kubwa na ikabaki chini ya 1GB hukata internet access.
 
Hakuna ufundi wowote utafanya hapo wahuni wakichezea network ndio madhara yanatokea kwa baadhi ya simu na kwa muda fulani kuna watu nawatafuta huko Tanzania siwapati ila simu zao zipo on nawapata kwa kuwapigia walio karibu yao nao wanashangaa utafanya chochote hapo hakuna ubovu kipindi mpaka uchaguzi upite ndio net itarudi kidogo na kuwa stable kwa wote.
 
Shida hapo kiongozi ni infinix.

Tafuta mtu mwenye simu tofauti na yako uweke hizo settings zako uone itasomaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…