No control over Religious radio stations over hate speeches



Mbona mnauliza nazi kisiju? Hivi Wakristo wanapofundishwa mashuleni negative kuhusu Waislamu nyinyi mbona hampingi hilo? Ni agenda ya Wakatoliki duniani kote kupinga dini zengine kwa kutumia mwanya Serikalini. Wakatoliki wanawapinga hata hao Wakristo wenzao kwa misingi kwamba si Wakatoliki. Hatua iliyochukuliwa na hayo magazeti ni muhimu kwa sababu hawa Wakatoliki wakiaachiwa wataleta vita hapa TZ.

Agenda za Wakatoliki duniani ni kutawala dunia, kwa njia yoyote. Nashukuru kwa hatua iliyochukuliwa na hayo magazeti kufichua Ubaya wao. Hawa jamaa Wakatoliki ni hatari sana. Na Nyerere ndiye aliyewapandikiza na Udini wao serikalini.
 
Mkuu, hakuna mtu mwenye chuki kama unavyosema! Ni mitizamo tofauti tu, wote sisi ni ndugu
mitazamamo tofauti ndo inasabisha mnawakandia wakatoliki kila kukicha mbona wao hawa jibu hayo mapigo lakini bado mnakomaa nao.
 
wewe kama unaakili timamu basi kwanini unakwenda nunua magazeti yanayo leta habari za kipuuzi kama hizo.
sijawahi nunua ila nasoma headlines ndo nasikia kichefuchefu.
 
Ndugu
Tatizo ni baadhi ya waislam na si waislam wote pia Si tatizo la jamii nzima ya watanzania kama unavyotetea maana lingekuwa tatizo la jamii basi upande wa pili wa jamii ungejibu. Hapa sisemi waislam wajibiwe na Wakristu pakee bali kuna baadhi ya watanzania wasioabudu dini yeyote kati ya hizo tunazozizungumzia!Kuna watu tunaowaita wapakani, hawa wametukanwa sana na sijawahi kuwasikia wakijibu mashambulizi.
Therefore to put a blame to the whole community is not correct!
Only Muslim are the problem and its funny that they do raise when the head of state is Muslim [Kwa mwinyi yalikuwa hayahaya, Sasa kwa JK]. Swali hapa ni kwamba: Je, mkuu wa nchi anakubaliana na uhamasishaji wao??
J,
 
mkuu sasa kosa lao hasa ni lipi na haya magazeti yanachofanya ni kuwakemea au kuwajulisha waislamu ubaya wa hao wakatoliki
 
kweli na wewe unasupport huo ujinga duh, nimeamini hawa jamaa wanalao jambo
 
Kosa sii la radio kheri, kosa ni letu watanzania kumkabidhi binti yetu kwa mme chizi. TANZANIA MAMA YETU NA BINTI KWA UBIKIRA WAKO KWA JINSI AMANI YAKO HAIKUCHAFULIWA, UTASAMEHE BURE SISI WAZAZI WAKO TUMEKUFUNGISHA NDOA NA MME AMBAYE HATUKUMTAMBUA, ANA MARADHI YA UENDAWAZIMU, HASARA TULIYOIPATA NI KULE KUTOWEZEKANA KUIVUNJA NDOA IKIISHAFUNGWA. TUSAMEHE EEH MAMA YETU NA KWA MUNGU TUTAMUOMBA ATUSAMEHE.
 
huyo jamaa hoja yake haina nguvu. Vipindi vyote vya radio za kikristu kama radio maria,safina fm,praise fm,upako radio, living water na nyingine kibao na hayo magazeti yao kama mkombozi,nyakati,msema kweli na kiongozi pia tv zao kama Atn, Trinet nk sijawahi kuona,kusikia kusoma habari inayo kandia waislam direct mwenye link atuwekee hapa. Kwa hiyo hawa jamaa wameamua tu kuleta machafuko, ngoja tuone watafika wapi.
 
Nimepitia post zote hapa sijaona sababu hasa ni ipi nimegundua hawa wenzetu wameamua tu kuwachafua wakatoliki bila sababu yenye maana. Basi wao waendelee tu manake hata habari zao hazina side effect kwa wakatoliki.
 

Mkandara mimi na wewe tunaijua Dunia vyema sana .Unajua nina maanisha nini.Akijan Padre akasimama akatoa jambo zito hatakuwa yeye pekee bali ujue ana watu wengi mno nyuma .Leo Waislam wanalia na tena kwa uongo na Slaa na Ukatoliki wakati jamaa yuko katika siasa na pure siasa ambayo haina udini .Akija Sheikh au Imam kwa kila wiki anaongelea habari hizo na tena kwa kubadilishana na wenzake hilo si jambo dogo tena .Now can we go out na ku gauge mood ya Waislam dhini Ukristo Tanzania ? Hali ni mbaya nakueleza .Wako wengi wamekata tamaa ya maisha hawana maisha na hao ndiyo wasiilizaji wazuri na wanafuata mno maagizo ya mafundisho ya viongozi wao na hivyo kuleta hatari katika jamii .Tuwe wa kweli hili halina faida kwa JK na CCM yake maana wakianza vita kama wanavyo sema hakuna atakaye kuwa salama Tanzania .Serikali ichukue hatua Wakristo wana radio siku nyingi mno na TV lakini hatukuwahi kusikia neno uislam au Muislam anatajwa iwe kanisani au kwenye vyombo vyao vya habari .

Uko Canada kwa wakristo huko unaishi kwa raha na hakuna mtu anaye kubagua kwa uislam wako no .Isemee Tanzania mema tafadhali .
 


Wewe ni nanga kweki ndugu nja utaelendelea kutupwa topeni .Sijawahi kusikia na utu uzima wangu huu wala kuona Wakatoliki wanasumbuka na madhehebu mengine .Wasumbuke na waislam ambao hata hawawezi kuji manage wenyewe ? Shame on you .Kwa taarifa kama ni utawala wa wakatoliki wanaitawala Dunia na itakuwa hivyo maana wanapiga book .Ushahidi upo .JK alichukia Nchi alienda mwenyewe Roma hakuitwa kule Rome.Nasema huwawezi wakatoliki endeleeni kupiga soga na magazeti yenu uone kama itakusaidia .
 
Ubungo ubongo una tatizo la chuki binafsi dhidi ya waislamu ! For mio ,kama suala /mambo yanayoongelewa ni uongo , KWANINI TUSIENDE MAHAKAMANI ? TATIZO LIPO NA KINACHOFANYIKA NI KUSUKIA MOTO UNAOWAKA KWA MAJIVU U KNOW WHAT WILL HAPPEN THEN ! TZ KUNA UDINI ULIOVUKA MIPAKA NA MIMI HUWA NAZIKUBALI SANA REDIO ZOTE ULIZO NA CHUKI NAZO BINAFSI WEWE NA WAKATORIKI WENZAKO ! Kwa mfano suala la ajila za TUME YA AJIRA ZILIZOTOKA CURRENTLY , KWA NINI WAKATORIKI WAWE 85% , 10% MUSLIMS NA MADHEHEBU ZOOTE ZILIZOBAKI ZIWE 5% ? Kwa kigezo gani ? Wasabato tuna shule ngapi , ina maana zote zinatoa vilaza ? WENYE CHUKI NA UBAGUZI DHIDI YA WANA WA ADAMU HAWATAUONA UFALME WA MUNGU NAWE NI MIONGONI MWAO ! Mbadirike , AU DINI YENU INAFURAHIA KUPENDELEWA KWA STAHILI HIZI ? WAPI KTK BIBLIA TUNAAMBIWA TUHODHI VYA DUNIANI KWA ULAFI WA MIOYO YETU ? Then unasema Wakristo wakilalamika nao ?? Shameful , wanaolishabikia suala la kupendelewa na kubebwa ni Wakatoriki ! Na ktk uchaguzi uliopita hili lilikuwa KUBWA ZAIDI LA KUTUNYANYASA KWA DINI ZETU , Wakatoriki DINI ya MUUMBA haiendeshwi hivi ! Ifike mahali BADALA KUMLAUMU MTU /DHEHEBU KWA KULALAMIKA ,LET U USE YOUR HEAD UJUE KWANINI ANALALAMIKA KABLA HAKUJAWA BURUDI !
 
Tatizo ni mkuu wa kaya, huyu anaonekana kubariki hali hii, hatujasikia vyombo husika vikikemea au kivifungia vyombo vya habari vinavyo kiuka taratibu
 

Rudi shule tena .Wasabato nao wanaenda kupanda ndege bure na kuingia nchi za watu bila ya visa ndiyo uwape kazi za maana ? Wakatoliki wameanza zamani sana kusoma na wanasoma .Mwajiri huko sijui anakuuliza wewe dhehebu gani .Huko wana angakia vyeti na kuna panel inafanya maamuzi kabla ya wewe kuajiriwa .So this is BS claims .
 


Sasa mbona mnaogopa magazeti ya Kiislamu?
 
Yaani wala hauhitaji kuwa na akili kama za rocket scientist kujua tatizo lenu ni nini....lakini bado mnalalama tu. Kama uchochezi na kakashifu dini za wengine ndiyo ingekuwa kigezo cha kuajiriwa basi tungeona asilimia kubwa ya majina ya watu wa madhehebu yenu hapo juu!
 
Haya mambo mie niisha yasema sana humu...waislam ni watu wa ajabu sana. Kwa nini serikali inawaacha wanaleta futo na kisha serikali wanasema wakristo ni wadini? Uvumilivu wa wakristo umefika mwisho na sasa subirini chochote kutokea ikiwa tabia hii itaendelea. Katika mahubiri yao wanaeneza chuki tu, tena wazi wazi, wanatukana ukristo na huwezi sikia wanongelea maendeleo kisha wanaanza kulalamika eti wanapunjwa na wakristo. Huwezi sikia haya yanafanywa na wakristo. Sasa kama ni hivi sie tunazo redio na TV za kikristo nyingi, tunajipanga kuanza kazi na serikali inyamaze hivi hivi, wala tusiisikie ikiingilia kati. Hata wakristo sasa tumeamua kuanza kujifunza kareti nk, kwanza hizo tunazijua sana na ni fani zetu. Nani kawatuma hawa? inaudhi sana kuona serikali inyamazia haya mambo wakati inajua nguvu ya wakristo. Mambo ya imani ni hatari sana..angalia Nigeria, Sudani, Ireland, na sehemu nyingine...nchi inaweza waka moto mara moja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…