No condition is permanent

No condition is permanent

No condition is permanent

Wote wameajiriwa,, ahakikishe ni muadilifu ili huyo Malaya asiweze kumletea zengwe...atimize wajibu waje inavotakiwa...

Ukiacha hayo yote bado metuwakilisha vyema wanaume...hakuna mwanaume ameletwa duniani ili kuwafuta machozi wanawake waliofeli kwenye mapenzi yao hehehehehhe
amepeperusha bendera
 
emoji28.png
amepeperusha bendera

Hakika,,, Binafsi huwa sifurahishwi na tabia ya Mwanaume kulia lia kisa mapenzi,,,huwa naona tunapoteza nguvu kazi ya taifa hili na kupoteza muda sana...

Mwanaume you have to stay Taliban,,, Jali muda wakati wowote na mahali popote...
 
Back
Top Bottom