Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,664
- 2,517
Aiseee
Unga ,kete zilipasukia tumboniKifo chake kilisababishwa na nini?
AmeenSad,RIP NGWAIR
nasisitiza hip hop sio ubishoo na navyofanya show kazi yangu ni kuflowAlbert a.k.a ngwea the simple man
Sio bitoz sio brother man
R.......... ............... .....I.....................................P
Mwisho Watakata Viuno Stejini Kaa Ray C...Au Watakuja Mwiga Saa Na Lady Jay Deeee...Nazimiwa Na Medemu Wengi Na Wote Siwapendi Leta Nipige Show Gita Na Live Band...Hip Hop Ni "Chik Chik" Naruka Ki-Dj Yoh Yoh Na Tuna Rack Away..nasisitiza hip hop sio ubishoo na navyofanya show kazi yangu ni kuflow
Waulize hao mabitoz kujipodoa hawaoni Soo
Hizo taarifa zinavyotolewa Sasa😂😂
Taarifa za mwendokasi.Hizo taarifa zinavyotolewa Sasa😂😂
ingia audiomack pakua album mbili za ngwair "A.K.A Mimi" na Ng'eNaomba kumjua huyu mwamba Ngwair( R.I.P) kwa undani zaidi maana kipindi chake mi ndo kwanza nilikuwa mdogo kiasi kwahyo sikuwa na ufahamu mkubwa kumhusu.
Naskia alikuwa msanii maarufu Sana Tena wa kipekee kwenye fani ya muziki wa hip hop Hapa Tanzania.
Naomba kueleweshwa machache kumhusu ili nami niweze kuenda sambamba na wanaomjua.
Je Ngwair alizaliwa mwaka gani,maeneo gani, yeye alikuwa Ni wa kabila gani? nyimbo pamoja na album zake, producer wake alikuwa Nani? Alifariki mwaka gani na Nini haswa kilichosababisha kifo chake?
Ahsante.