shemejio Ruttashobolwa ndio
kanichagulia,eti lile la mwanzo
rahisi kila mtu analitaja hovyo!!hili
wengi wanajing'ata ulimi kulitamka!!ndyofu zipo
ila mimi siku hizi natumia viroba tu na msuba wangu burdaaaani!!
Muulize huyo lawyer Ruttashobolwa ameshatengeneza affidavit kulikataa jila lako la kwanza au bado anasua sua
Mhhh unanitisha binamu dismynder1 maana msuba tena mbona Ruttashobolwa atakuwa anakimbia chumba aise
Last edited by a moderator: