NNE BILA! (4-0) ndio habari ya MJINI. . . Hureee!

NNE BILA! (4-0) ndio habari ya MJINI. . . Hureee!

Arushaone mbona umejisahau wewe mwenyewe kuwa miongoni mwa waume zake
Hongera sana mkuu kwa mapambano ya jana
 
Last edited by a moderator:
Huyo mke wa mwiguru na shemeji yake,waliokuwa wanaota ndoto za kizombie mchana mbona hawatoi pongezi?,I wish miji ya Songea,njombe huko,ingekuwa kama arusha,mimi naamini kama uchaguzi mkuu ungekuwa wa kata nnenne kama hivi,wasingekuwa na diwani arusha,walichakachua wale 2010.
 

binamu nimekumisi
tukutane kwny party ya
kusherekea ushindi kuleeeee,c utakuja?

Binamu dismynder1nimekumiss mbaya aise
Mimi tena nikose aise lazima niwepo bana akina Mungi na Arushaone najua watakuwa wameandaa ndyofu za kutosha
halafu jina lako gumu ngoja niende course ya kulitamka aise hapa mtaani kuna english kozi
 
Last edited by a moderator:
Binamu dismynder1nimekumiss mbaya aise
Mimi tena nikose aise lazima niwepo bana akina Mungi na Arushaone najua watakuwa wameandaa ndyofu za kutosha
halafu jina lako gumu ngoja niende course ya kulitamka aise hapa mtaani kuna english kozi

shemejio Ruttashobolwa ndio
kanichagulia,eti lile la mwanzo
rahisi kila mtu analitaja hovyo!!hili
wengi wanajing'ata ulimi kulitamka!!ndyofu zipo
ila mimi siku hizi natumia viroba tu na msuba wangu burdaaaani!!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom