NNE BILA! (4-0) ndio habari ya MJINI. . . Hureee!

NNE BILA! (4-0) ndio habari ya MJINI. . . Hureee!

pacha, shemejio sina hofu naye maana yule nyoka wake mla tunda natembea naye akirudi home ndiyo namrudishia

pacha nipe ujuzi wa kufanya
hivyo na mimi nitembee na nyoka wa shemejio
maana haeleweki siku hizi!!
 
hey mambo vipi jamani mbona pacha wako PL imemwona kafungwa pingu?:embarrassed1:

we Kaizer kusoma hujui napicha huoni
mimi ndio yule yule pl originale mwingine remix
nimechange id kwa muda,haya niambie!!
 
Last edited by a moderator:
Arushaone mnastahili pongezi sana mungu atamilipia mlichokifanya kwa faida ya watu wa Arusha!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom