KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,649
- 6,088
Hahahahaha. . . yani mpaka ukaenda clinic kabla ya muda?
Hongera mwaya. . .
Furaha yangu ilikuwa si ya kawaida, so nilikuwa curious kufanya chochote kinachohusu mimba.
Ahsante Lizzy, ukweli sifa na utukufu namrudishia Mungu, maana nilipitia 9months ngumu zenye kash kash na mapito mengi.