Nilimuambia akiwa wa kiume ataitwa konyagi na akiwa wa kike ataitwa reds
Wifi huyo alikuwa kiboko lol...hana aibu kumsingizia mtu mimba?..afu ya miezi mingi hivyo khaaa.
Haijalishi uliikimbia, mliishia kutoa ama mlilea. Siku mwenzio alipokwambia "Nna mimba". . . "Nahisi/nadhani nna mimba!" ulijisikiaje?
Na wewe mdada/mama ulipogundua/hisi una mimba ulijisikiaje?
Mawazo gani yaliwapitia kichwani??
Just CURIOUS. . . .
Hongera sana Ma dou dou.yani mimi nilijawa na nguvu ya ajabu ambayo iliongezeka siku hadi siku ya kuwa mi ndo mlinzi wa kile kiumbe nilikuwa tayari kwa chochote ili kukilinda na mpaka leo najisikia mwenye majukumu makubwa ya kumlinda na mwisho nilimkabidhi kwa MUNGU
Nilikuwa na safari ya kwenda kwa mwajiri wangu wa awali. Tulikuwa hatujaonana almost mwezi naa, alikuwa safarini. Aliposikia safari tu akarudi na akasema huwazi kwenda mwenyewe (wivu)
Nikamwamia twende, tukaenda. Ndiko mimba ilikotengenezwa, baada ya mwezi sikuona, kumwambia akasema labda umepitiliza tu. nikamwambia twende hosptali, tukaenda, vipimo vikajibu. Hakuonyesha kufurahi wala kukasirika.
As for me, nilifurahi saana saana, nilianza kunu ua matenite hata kabla tumbo halijtoka. Na nilianza clinic hata huko clinic wakashanggaa, eti si ungesubiri walau iwe ya miez mi2 au mi3.
Leo naitwa mama. Hallelluyah
I was the happiest person kwa muda ule.
Nili-pop shampeni, it feels gooood!
Nilichekelea kila story mgundini, kutokana na furaha kubwa nilokawa nayo! Hatimae after 9months nikapata my first borne baby girl! Kidume nikatangaza ushindi, like father like daughter!
Hongereni bana!!!