Nmeshangazwa kuona mke wangu anavuta bangi

Nmeshangazwa kuona mke wangu anavuta bangi

Kwani mda gani tangu muonae? Manake hata harufu pia hujaisikia? Mbona hii ngumu kumesa?
 
Aiseee hivi mtu anaweza kula kiange na sigara akaswaki harufu ikaisha??
kumbe anavuvuta hupiga mswaki na kula vitu kama pipi kali kuondoa harufu. nilikuwa nikiona akinunua nikadhani ni kila mtu hupenda atakacho kumbe alikuwa na kusudio maalum
 
Huyo siyo rizki na achana naye utazaa mapunguani hadi uchoke. Mi sio Dr. ila uliza madhara ya sigara na bangi kwa mtoto aliye kwa tumbo

Mkuu mbona wazazi wetu ni vichwa sana tu wamezaliwa na bibi zetu walikuwa wanapeleka sonyo na sigara kinoma?
 
Ten years now.
Karucee upo
nikikumbuka ile story ya mgfniwako kuvuta Ganja na kupanda mnazi anabaki hoi
au ile ya kuwa konda wa daladala mbavu sina

hii k2 weed ningepata Experience yake ya kunako mchezo wa 6x6 ningefurahi
maana kuna Mdada mmoja ni Tutor hapa jirani ana mtoto mmoja ni lazima apulize kibarazani kwake ndipo akalale
Na mme wake yupo nje ya Nchi,
Sijui nimvaeje?
Na huenda mumewe hajui au anajua mm ni mechi inafananaje?

tpmazembe pole mruhusu tu avute lakini asirudie tena KUMSIFIA BF wake huenda walikuwa wakifanya sarakasi za mitandao
 
Last edited by a moderator:
Try it friend utanisimulia habari yake ya huko 6 by 6
Karucee upo
nikikumbuka ile story ya mgfniwako kuvuta Ganja na kupanda mnazi anabaki hoi
au ile ya kuwa konda wa daladala mbavu sina

hii k2 weed ningepata Experience yake ya kunako mchezo wa 6x6 ningefurahi
maana kuna Mdada mmoja ni Tutor hapa jirani ana mtoto mmoja ni lazima apulize kibarazani kwake ndipo akalale
Na mme wake yupo nje ya Nchi,
Sijui nimvaeje?
Na huenda mumewe hajui au anajua mm ni mechi inafananaje?

tpmazembe pole mruhusu tu avute lakini asirudie tena KUMSIFIA BF wake huenda walikuwa wakifanya sarakasi za mitandao
 
Last edited by a moderator:
Karucee upo
nikikumbuka ile story ya mgfniwako kuvuta Ganja na kupanda mnazi anabaki hoi
au ile ya kuwa konda wa daladala mbavu sina

hii k2 weed ningepata Experience yake ya kunako mchezo wa 6x6 ningefurahi
maana kuna Mdada mmoja ni Tutor hapa jirani ana mtoto mmoja ni lazima apulize kibarazani kwake ndipo akalale
Na mme wake yupo nje ya Nchi,
Sijui nimvaeje?
Na huenda mumewe hajui au anajua mm ni mechi inafananaje?

tpmazembe pole mruhusu tu avute lakini asirudie tena KUMSIFIA BF wake huenda walikuwa wakifanya sarakasi za mitandao

Hahaaaaa. Ndommmmm!!
 
Last edited by a moderator:
So what we get drunk,so what we smoke weed,,we just having fun...we dont care who see........leaving young,wild and free...#in wiz-khalifa's voice#.......not my style though..and i dont support.
 
Back
Top Bottom