Nmeshangazwa kuona mke wangu anavuta bangi

Nmeshangazwa kuona mke wangu anavuta bangi

wife mkuu. inaniuma sana. nawasiwasi katika uvutaji bangi atakuwa kachezewa sana

Sio lazima mkuu... nina kampani nyingi sana za madem wavuta gambe na na wanakuwa stable tu baada ya kuvuta. Tena wengi wakishavuta ndo wanakuwa sensitive na hawataki mtu awaguse. Ulevi wa bange ni tofauti na wa pombe
..
 
Acha uongo kaka. Mvuta sigara mara zote hunuka harufu ya sigara. Kusema kwamba hukujua ni uongo tu mkuu

kumbe anavuvuta hupiga mswaki na kula vitu kama pipi kali kuondoa harufu. nilikuwa nikiona akinunua nikadhani ni kila mtu hupenda atakacho kumbe alikuwa na kusudio maalum
 
Nimestushwa na kushangazwa kurudi home gafla na kumkuta mke wangu akivuta bangi chumbani huku akiwa na packti ya sigara.Nilpomuuliza akajibu alikuwa akivuta tangu zamani ila kwa wiku huvuta kama mara tatu tu.
Nilipomuuliza alijifunzaje akanijibu alifundishwa na ex boyfriend wake maana alikuwa kila wakikutana usiku lazima avute bangi nyingi na nirungi na yeye alikuwa akimsaidia kuwasha bangi hiyo hivyo moshi ule ukamuungia damuni na kujikuta akikaa kama siku tano hajavuta bangi au sigara husikia kizunguzungu na kuto kuwa sawa.

Sasa kinachoniumiza mimi ni kuwa wakati anafundishwa kuvuja bangi alifanywa matendo gani? maana ulevi kama huo mtu kupoteza fahamu ni kawaida.hapa niko njia panda naona kama najibebesha zigo bora kulitua.ushauri wadau.

Ushauri wa bure mkague Kabang kama marinda yamefumuliwa.
 
wife mkuu. inaniuma sana. nawasiwasi katika uvutaji bangi atakuwa kachezewa sana

Ondoa shaka,wanawake wa hivyo mara nyingi si wapenzi wa ngono kabisaaa.wanapenda kuongea sana lakini si wangonokaji.Mtunzie siri na huku ukijitahidi kumrudisha kwenye njia sahihi ya kuacha kutumia taratibuu.
Kwani una watoto nae?
 
....hapa niko njia panda naona kama najibebesha zigo bora kulitua.ushauri wadau.

Mna miaka mingapi ya ndoa na mkeo? Vumilia mkubwa ndoa sio lelemama lazma iwe na misukosuko maadam bado yupo njia kuu.
 
Nimestushwa na kushangazwa kurudi home gafla na kumkuta mke wangu akivuta bangi chumbani huku akiwa na packti ya sigara..

pole sana...
images
 
Kama tabia mnaendana na mliweza kuishi pamoja bila ya kujua kuwa mwenzio anakula ndumu, na sasa umefahamu hilo nakushauri endelea nae, hakuna tatizo lolote litakalotokea
 
Nimestushwa na kushangazwa kurudi home gafla na kumkuta mke wangu akivuta bangi chumbani huku akiwa na packti ya sigara.Nilpomuuliza akajibu alikuwa akivuta tangu zamani ila kwa wiku huvuta kama mara tatu tu.
Nilipomuuliza alijifunzaje akanijibu alifundishwa na ex boyfriend wake maana alikuwa kila wakikutana usiku lazima avute bangi nyingi na nirungi na yeye alikuwa akimsaidia kuwasha bangi hiyo hivyo moshi ule ukamuungia damuni na kujikuta akikaa kama siku tano hajavuta bangi au sigara husikia kizunguzungu na kuto kuwa sawa.

Sasa kinachoniumiza mimi ni kuwa wakati anafundishwa kuvuja bangi alifanywa matendo gani? maana ulevi kama huo mtu kupoteza fahamu ni kawaida.hapa niko njia panda naona kama najibebesha zigo bora kulitua.ushauri wadau.

Hayatuhusu. This is your private business. Absolutely.
 
Iliwai kunikuta lakin alikuwa girlfriend ni raia wa Kenya mwaka 2010. Nilikuwa nashangaa kuna wakat anakuwa mpole kawaida wakat mwingine mtu wa shali kukinukisha.

Kuna siku alikuwa hayupo nikafungua kwenye sanduku lake chini kabisa ya nguo nilikuta kiberiti na pakiti ya sigara nahis alikuwa anachanganya misokoto pia.

Maana akiwa amevurugika ni fujo na kuongea ata masaa 8 .

Bora ukimbie akivurugwa anaweza kuchoma kisu
 
...

...dawa ya moto ni moto !!!

wakichoma moto na wewe choma moto ...harafu rimoto rinakutana katikati
 
Nimestushwa na kushangazwa kurudi home gafla na kumkuta mke wangu akivuta bangi chumbani huku akiwa na packti ya sigara.Nilpomuuliza akajibu alikuwa akivuta tangu zamani ila kwa wiku huvuta kama mara tatu tu.
Nilipomuuliza alijifunzaje akanijibu alifundishwa na ex boyfriend wake maana alikuwa kila wakikutana usiku lazima avute bangi nyingi na nirungi na yeye alikuwa akimsaidia kuwasha bangi hiyo hivyo moshi ule ukamuungia damuni na kujikuta akikaa kama siku tano hajavuta bangi au sigara husikia kizunguzungu na kuto kuwa sawa.

Sasa kinachoniumiza mimi ni kuwa wakati anafundishwa kuvuja bangi alifanywa matendo gani? maana ulevi kama huo mtu kupoteza fahamu ni kawaida.hapa niko njia panda naona kama najibebesha zigo bora kulitua.ushauri wadau.

mkuu, fanya participant research kwa mkeo!

unaweza ukafanikiwa kumkomboa...
 
ngoja na mimi nipite kimya mpaka utakapo jibu maswali hayo hapo juu.
ndio na mim nimwage neno.

maana hii ishu ni nzito kidogo MKUU kama kweli upon serious.

maaana kuna kauli ambayo unaisisitiza inanitia mashaka coz unataka kulazimisha wadau waijadili hiyo.juu ya kufanyiwa michezo michafu Hugo mkeo pindi alupokuwa ametinga

jamaa amejibu lakini hayatoshelezi, kuweza kumpa ushauri wa maana....

nina miaka 2 naye kama wana ndoa. ila kimauhusiano zaidi ya 5yrs.
huwa narudi saa moja or saa mbili night na kutoka saa kumi na mbili asubuhi .jtatu to jmosi.jpili huwa home
jumla upo nae kwa jumla miaka 7 ya mahusiano na kufahamiana, leo hujui kuwa navuta bangi....? tpmazembe hauko siriasi ikiwa hii ni kweli kabisa.... ujue suala la mahusiano ni nyeti sana, zaidi ya nyeti unazozijua.

huwezi kuwa na mke ambae hujui anachokifanya...
hauko makini...nasema hauko makini! haufai kuwa mume!
 
Last edited by a moderator:
Haya sasa matunda ya kutafuta mke Maisha Club au mbalamwezi hizo,madada wanavuta bangi utadhani garimoshi khaaaaa
 
.........Kwa shida na raha mpaka kifo kitutenganishe............

Mkuu ongea nae umshauri aende rehab kuhusu kufanyiwa mambo sio sidhani kama ni issue kwako kwa sasa maana ushakaa nae miaka kama saba hivi kwa maelezo yako.
 
Iliwai kunikuta lakin alikuwa girlfriend ni raia wa Kenya mwaka 2010. Nilikuwa nashangaa kuna wakat anakuwa mpole kawaida wakat mwingine mtu wa shali kukinukisha.

Kuna siku alikuwa hayupo nikafungua kwenye sanduku lake chini kabisa ya nguo nilikuta kiberiti na pakiti ya sigara nahis alikuwa anachanganya misokoto pia.

Maana akiwa amevurugika ni fujo na kuongea ata masaa 8 .

Bora ukimbie akivurugwa anaweza kuchoma kisu
tatizo kubwa ni kuwa mimi situmiagi kabisa vitu hivyo sio bangi wala sigara
 
Back
Top Bottom