Mrigariga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 1,761
- 1,634
Kwanza naomba nidiklee upande. Mimi sivuti kabisa na wala sijawahi vuta. Ila nafahamu watu kibao wanao vuta na wako responsible kuliko hata hao wasiovuta. The fact kwamba umekuwa naye 7 damn years na hukuweza kugundua. Hiyo inaonyesha huyo shemeji yetu yuko responsible kwa kuwa hajakupa sababu ya kum suspect. So hayo unayowaza sijui kavurugwa na mijamaa ni kuwa yako kichwani kwako
Kuna mademu ukiwaona muonekano wao utsema umekutana na malaika kumbe ni mbwamwitu waliovaa ngozi ya kondoo. Kuna mademu wawili nawajua wamevuta hiyo kitu huko nyuma na sass wana maisha yao mazuri tu. Wana biashara zao yaani wako vizuri. Kiasi kwamba ukiambiwa huta amini kirahisi.
Mbona tumeona viongozi wavutaji,wahadhiri wa vyuo vikuu, Maafisa wakuu watendaji tena kwenye taasisi kubwa tu. Na kuna watu wengi wehu kabisa na hawajawahi kuvuta hata sigara tu. Bangi hii hii wengine inawatuma kufanya mambo productive ktk society zao. Mfano mzuri ni Robert Nesta Marley na mkewe Rita. Wametunga nyimbo zao ambazo hadi leo tunazicheza na pengine wajukuu zetu watazicheza pia. Ni mitazamo yetu na fikra potofu.
Kuna mademu ukiwaona muonekano wao utsema umekutana na malaika kumbe ni mbwamwitu waliovaa ngozi ya kondoo. Kuna mademu wawili nawajua wamevuta hiyo kitu huko nyuma na sass wana maisha yao mazuri tu. Wana biashara zao yaani wako vizuri. Kiasi kwamba ukiambiwa huta amini kirahisi.
Mbona tumeona viongozi wavutaji,wahadhiri wa vyuo vikuu, Maafisa wakuu watendaji tena kwenye taasisi kubwa tu. Na kuna watu wengi wehu kabisa na hawajawahi kuvuta hata sigara tu. Bangi hii hii wengine inawatuma kufanya mambo productive ktk society zao. Mfano mzuri ni Robert Nesta Marley na mkewe Rita. Wametunga nyimbo zao ambazo hadi leo tunazicheza na pengine wajukuu zetu watazicheza pia. Ni mitazamo yetu na fikra potofu.