kibella24
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 677
- 158
mmmh, huyo noma, bangi sio mchezo ati, au ndo zinamletea stimu ya kusepetuka kwa 6x6? any way,usimuache wala usimkacrikie japo alishindwa kuwa wazi kwako tangu awali. Sasa mwambie tu kwa utaratibu kuwa tabia hiyo huitaki, and more over, mtafutie mshauri nasaha ili afanyiwe counseling atabadilika tu!