Nmeombwa ruswa TAKUKURU nikaripoti wapi?

Nmeombwa ruswa TAKUKURU nikaripoti wapi?

fiter

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
1,144
Reaction score
79
hvi kama takukuru wakikuomba rushwa utapeleka malalamiko wapi bz nlienda ofisi 1 ya takukuru nkaombwa rushwa...,. au TAKUKURU nyingne itaundwa kuchunguza TAKUKURU....
 
Umejaaliwa nini jamani? Ni pm basi
 
Nenda Polisi ukitoa kitu kidogo wataenda kuwakamata waliokuomba!
 
Nenda ofisi ya CHAMA iliyo karibu,watawa-arrest

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mwenyewe ulikua na wazo gani. Ama unatafuta bwana humu jamvini ? Nenda Meeda au Sanciro shekilango
 
Hiyo kazi rahisi sana kama rushwa ya ngono jitahidi kurekodi mazungumzo ya simu kati yake na wewe kisha julisha rafiki au ndugu kufanikisha fumanizi baada ya baada ya fumanizi julisha utawala wao na jf.
 
Kama pesa taslimu nukuu namba za noti zako na tengeneza mazingira usimpie hiyo pesa ofisini kwake ili upate sapoti ya raia wengine nje ya idara yao kama unaweza polisi na mwenyekiti wa mtaa itapendeza zaidi baada utafanikiwa katika ukamataji julisha utawala ila mtuhumiwa kwa hatua ya kwanza akakae polisi kisha julisha jf ulipofikia. Jamii forums intelejensia yake kali sana.
 
Kama tigo pesa na mpesa au benki kumbuka jina kamili la akaunti na pia rekodi mazungumzo yako na yeye kwenye simu au tunza sms zote kisha julisha jf na vyombo vya habari kisha utawala wa ofisi yake. Hii ndiyo jamii intelligence utafikiri cia
 
Kama tigo pesa na mpesa au benki kumbuka jina kamili la akaunti na pia rekodi mazungumzo yako na yeye kwenye simu au tunza sms zote kisha julisha jf na vyombo vya habari kisha utawala wa ofisi yake. Hii ndiyo jamii intelligence utafikiri cia

Kolokoloni sometimes una akili ila wakati mwingine sijui ndo bangi
 
Back
Top Bottom