Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 24,703
- 44,059
Njoo kwangu!
Kutongozwa nayo rushwa?
Mwenyewe ulikua na wazo gani. Ama unatafuta bwana humu jamvini ? Nenda Meeda au Sanciro shekilango
Akili yako ya kufikiri ushauri wa kumpa imeishia hapo? Haijatokea hata siku moja kwenye jukwaa hili ukawa na point ya kumshauri mtu. Tatizo ule ugonjwa wako uliokuwa ukitibiwa kwa mganga wa kienyeji naona hujapona