NMB wanachonifanya... ushauri tafadhal

NMB wanachonifanya... ushauri tafadhal

SACO

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
2,877
Reaction score
3,789
Kama kichwa kinavyojieleza.. Ni kuwa mwezi wa Julai nilichukua mkopo NMB. Katika mkataba ni kuwa nitakatwa laki lakini baada ya makato kuanza nikagundua wanakata zaidi ya laki tatu, nilifika fasta kwenye ofisi zao za mikopo na wao walipoangalia kwenye compyuta zao wakagundua kama kuna kitu kama hicho. Hivyo wakaniambia nilete salary slip ili iambatanishwe na fomu watakayonipa.
Tatizo ni kuwa kwa sisi watumishi wa umma salary slip hazijatoka toka mwezi wa Juni, na nilipoenda kwenye ofisi za mishahara wakasema hawawezi kunipa document yoyote ya mshahara mpaka salary slip zitoke na benk wao wanasema hawawezi kunisaidia chochote mpaka nilete salary slip , hivi ninavyoandika ni kuwa jamaa wanaendelea kunikata hela kubwa tofauti na mkataba nilionao..... Kwa wale wenye uzoefu naomba mnishauri nifanye nini kutatua hilo tatizo?
 
wanaharamu wale yaani mimi najiulizaga serikali kwa nini inaacha taasisi za fedha zinafanya zitakavyo, au government Ina agenda ya siri?

niliona posta bank wakanambia15% kwa mwaka nilikuta 15.1% kwa mwezi naumia sina PA kukimbilia.


pigs hesabu. loan 7mil wanaotaka 245,000/- miezi 60
 
wanaharamu wale yaani mimi najiulizaga serikali kwa nini inaacha taasisi za fedha zinafanya zitakavyo, au government Ina agenda ya siri?

niliona posta bank wakanambia15% kwa mwaka nilikuta 15.1% kwa mwezi naumia sina PA kukimbilia.


pigs hesabu. loan 7mil wanaotaka 245,000/- miezi 60
Mkuu haya malipo ni miezi 60 au 30??. Maana kwa miezi 60 ni sawa na sh 14700000 wakati ulikopa 7 mil. Hapo riba ni zaidi ya 100%. Na kama ni miezi 30 ni sawa na 7350000.
 
KWELI TUTAISOMA NAMBA

NI ILE ILE OOOO NI ILE ILE
 
Mkuu labda hiyo sio benki,mie mamito amebeba mpunga siku za karibuni. Nmb wanakupa fomu inayoonyesha kila kitu. Kiasi cha mkopo,makato kwa mwezi,muda,gharama wanazokata na kiasi unachopata. Tena kabla hujasaini. sasa hiyo yako ilikuwaje mkuu.
 
Nenda kwa ofisa utumishi wako,mwambie akupe barua ya kukutambulisha wewe hadhina DSM ili upewe salary slip zako.
Hazina watakupa salary slip zako za had za mwez wa 9.Kama hujaelewa ni Pm
 
Mkuu labda hiyo sio benki,mie mamito amebeba mpunga siku za karibuni. Nmb wanakupa fomu inayoonyesha kila kitu. Kiasi cha mkopo,makato kwa mwezi,muda,gharama wanazokata na kiasi unachopata. Tena kabla hujasaini. sasa hiyo yako ilikuwaje mkuu.
Hiyo fomu ninayo mkuu.. Ila makato ni tofauti na kilichopo kwenye fomu
 
waache wakate kubwa iwahi kuisha kama haina direct impact, kwa ushauri wangu lakin
Kama kichwa kinavyojieleza.. Ni kuwa mwezi wa Julai nilichukua mkopo NMB. Katika mkataba ni kuwa nitakatwa laki lakini baada ya makato kuanza nikagundua wanakata zaidi ya laki tatu, nilifika fasta kwenye ofisi zao za mikopo na wao walipoangalia kwenye compyuta zao wakagundua kama kuna kitu kama hicho. Hivyo wakaniambia nilete salary slip ili iambatanishwe na fomu watakayonipa.
Tatizo ni kuwa kwa sisi watumishi wa umma salary slip hazijatoka toka mwezi wa Juni, na nilipoenda kwenye ofisi za mishahara wakasema hawawezi kunipa document yoyote ya mshahara mpaka salary slip zitoke na benk wao wanasema hawawezi kunisaidia chochote mpaka nilete salary slip , hivi ninavyoandika ni kuwa jamaa wanaendelea kunikata hela kubwa tofauti na mkataba nilionao..... Kwa wale wenye uzoefu naomba mnishauri nifanye nini kutatua hilo tatizo?
 
wanaharamu wale yaani mimi najiulizaga serikali kwa nini inaacha taasisi za fedha zinafanya zitakavyo, au government Ina agenda ya siri?

niliona posta bank wakanambia15% kwa mwaka nilikuta 15.1% kwa mwezi naumia sina PA kukimbilia.


pigs hesabu. loan 7mil wanaotaka 245,000/- miezi 60
Pole sana
 
Nenda kwa ofisa utumishi wako,mwambie akupe barua ya kukutambulisha wewe hadhina DSM ili upewe salary slip zako.
Hazina watakupa salary slip zako za had za mwez wa 9.Kama hujaelewa ni Pm
Nipo mbali na dsm
 
Kama kichwa kinavyojieleza.. Ni kuwa mwezi wa Julai nilichukua mkopo NMB. Katika mkataba ni kuwa nitakatwa laki lakini baada ya makato kuanza nikagundua wanakata zaidi ya laki tatu, nilifika fasta kwenye ofisi zao za mikopo na wao walipoangalia kwenye compyuta zao wakagundua kama kuna kitu kama hicho. Hivyo wakaniambia nilete salary slip ili iambatanishwe na fomu watakayonipa.
Tatizo ni kuwa kwa sisi watumishi wa umma salary slip hazijatoka toka mwezi wa Juni, na nilipoenda kwenye ofisi za mishahara wakasema hawawezi kunipa document yoyote ya mshahara mpaka salary slip zitoke na benk wao wanasema hawawezi kunisaidia chochote mpaka nilete salary slip , hivi ninavyoandika ni kuwa jamaa wanaendelea kunikata hela kubwa tofauti na mkataba nilionao..... Kwa wale wenye uzoefu naomba mnishauri nifanye nini kutatua hilo tatizo?
Tafuta mwanasheria, waandikie barua kuhusu malalamiko yako maana ni kinyume na mkataba. Wanaogopa kesi sana
 
Nipo mbali na dsm
Kama hili jambo linakusumbua sana fanya hivyo,hazina ukifika ni dakika 5 tu wanakupa salary slip zako,ikiwezekana siku hiyo hiyo utaanza safari ya kurudi huko ulipo.
 
wanaharamu wale yaani mimi najiulizaga serikali kwa nini inaacha taasisi za fedha zinafanya zitakavyo, au government Ina agenda ya siri?

niliona posta bank wakanambia15% kwa mwaka nilikuta 15.1% kwa mwezi naumia sina PA kukimbilia.


pigs hesabu. loan 7mil wanaotaka 245,000/- miezi 60
Duuuuh!! Wanakukata 245,000 kila mwezi kwa miez 60??!!

Kama ni hivyo, utawalipa jumla ya 14,700,000 wakati wewe umekopa 7m tu!!

Huu ni wizi kabisa!
 
Mi ndio maana sithubutu kuchukua bank loan.
 
Hiyo fomu ninayo mkuu.. Ila makato ni tofauti na kilichopo kwenye fomu
sasa hiyo itakuwa ni makosa ya mtu anayetakiwa akuwekee makato kadiri ya benki ilivyokupa. hebu tuwekee hapa hizo tofauti tuone. huo mkataba na makato halisi
 
Ebu kuwa wazi ulikopa sh ngapi na mkataba wako ni wa miezi mingapi ili wataalamu tupige hesabu tujue wapi panakosa!!!!!
 
nenda bank hiyohiyo omba bank statement alaf chukua mkataba nenda nao kwa manager pamoja na bank statement
 
Back
Top Bottom