Mundele Makusu1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,614
- 3,703
🤣🤣🤣Daah kumbe .....ko sahivi umekimbilia wapi MkuuNiliacha kutumia huduma zao
🤣🤣🤣Daah kumbe .....ko sahivi umekimbilia wapi MkuuNiliacha kutumia huduma zao
Equity bank wako vizuri mkuu.....naomba tipsNatamani kurudi equity bank ila nlishaburn bridges.
2018 nmemaliza chuo maisha yamenichapa si wakajikoroga wakaniwekea 100k faster sana nikaitoa mpaka kesho sielewi hata kadi yangu iko wapi na sijui kama account yangu inaexist.
Sipo Tz kwasasa🤣🤣🤣Daah kumbe .....ko sahivi umekimbilia wapi Mkuu
Wana uzi wao humu ndiyo wanaongoza kwa kuipa serikali gawioyaani nimejiunga na benki yao ila kuna vitu nimekuja kugundua kuwa hawa wana makato makali kuliko benki nyingine, kutoa pesa atm wana makato makubwa kuliko wengine, na nimekatwa 1500 wanasema hela ya saving yaani kumbe pesa zangu kuweka tu kuna pesa ya kuwalipa kunihifadhia
Inafananaje hiyo, hilo neno lilikuwa linatumika kumaanisha shor time guest house za uswaziAccount ya kawaida au? Maana navyojua account ambayo haina monthly charges ni chapchap tu
Majuzi nilikuwa napita zangu njia nikaona wanatangaza juu ya account za chap nikaona nifungue fasta nikatupia humo 50000, wakanipa na kadi yao, nikawa nayo, tu kama reserve, kabatini, huku nikitumia account nilizokuwa nazo as normal as usual, imepita kama miezi 6,hivi nikawa na chungulia fedha yangu, kwani nilikuta hela, lahaula hakuna hata mbuni. Babu yenu nikacheka tu na kutulia.NMB wana negative interest rate.
Si ungeomba bank statement.......kujiridhishaMajuzi nilikuwa napita zangu njia nikaona wanatangaza juu ya account za chap nikaona nifungue fasta nikatupia humo 50000, wakanipa na kadi yao, nikawa nayo, tu kama reserve, kabatini, huku nikitumia account nilizokuwa nazo as normal as usual, imepita kama miezi 6,hivi nikawa na chungulia fedha yangu, kwani nilikuta hela, lahaula hakuna hata mbuni. Babu yenu nikacheka tu na kutulia.
Huko sawaMje Standard Chartered na ABSA huku service fees ni 7,500 kwa mwezi
Wameshindwa kujiongeza kabisa, akili ni wangekuwa wanakata fedha kulingana na wingi wa fedha, mf*100-500000 wakakata 1500,500000-10m,wakakata 2000, 10ml-30ml,wakakata 3000,30ml-50ml,wakate 4000/-kuanzia 50ml-infinity, wakakatwa 10000/-