42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,874
Aiseee mimi natumia KCB sijawahi kutana na wakala hata mmoja.Ni Bank Pekee ambayo ukituma pesa kwa PayPal kisha ikirudishwa inaingia moja kwa moja kwenye akaunti yako (hapa nawapongeza sana)
Usihangaike na matawi mkuu, matawi ni machache ila mawakala ni wengi,
unaijua Banc ABC wewe? Hii ndo Bank yenye matawi machache na mawakala ni wachache zaidi kuliko idadi ya matawi
BancABC niliona wachawi walivoniambia Nikalete barua ya utambulisho ya serikali za mitaa na Nida juu.
sikutaka kuendelea nao.
