NMB Nyumba Day Event - Dodoma

NMB Nyumba Day Event - Dodoma

NMB Tanzania

Official Account
Joined
Sep 13, 2014
Posts
94
Reaction score
232
Wakazi wa Idodomya! mko tayari?

Karibuni kwenye #NMBNyumbaDay tarehe 19 na 20 sept 2018 itakayofanyika katika viwanja vya tawi letu la Kambarage lililopo katika jengo jipya la PSPF ili ujifunze mengi zaidi kuhusiana na mikopo ya nyumba kutoka kwetu na washirika wetu.

Endapo una swali lolote kuhusu mikopo ya nyumba, karibu tukuhudumie kupitia ukurasa huu. #NMBMortgage #NMBKaribuYako

Artboard 2.png
 
Naomba kujua masharti ya kupata mkopo wa Nyumba.
Hello Munchamuja

Haya ni baadhi ya masharti.

  • Copy of your 3 current pay slip/ proof of income –
  • Proof of identification – ID of Borrowers – in case of Individual
  • Certified copies of 3 months personal bank statements (if new client)
  • A letter of reference from your employer that the will channel of salary/ income
  • Employment contract letter and application has any pending loan
  • Certified copy of title Deed (to facilitate property valuation)
Karibu sana.
 
Hello Munchamuja

Haya ni baadhi ya masharti.

  • Copy of your 3 current pay slip/ proof of income –
  • Proof of identification – ID of Borrowers – in case of Individual
  • Certified copies of 3 months personal bank statements (if new client)
  • A letter of reference from your employer that the will channel of salary/ income
  • Employment contract letter and application has any pending loan
  • Certified copy of title Deed (to facilitate property valuation)
Karibu sana.
Samahani kuna wengine hawataelewa kwa kingereza! Labda ungeweka na tafasiri kwa kiswahili ili iwe rahisi kwa kila mmoja kuelewa.
 
Swali la 1:Nyumba zitakuwa kama hiyo kwenye picha na kiwanja kitakuwa flat hivyo au hiyo ni ya kutafutia wateja tu.?
 
NMB Tanzania, mnapoamua kuhudumia wateja wenu mtandaoni msiwe mnakimbia maswali. Pia tumieni lugha rafiki, sio kukopi na kupaste majibu ya kikristo kwenye pc zenu. Pia muwe active kidogo. Uvumilivu ni msingi mkubwa maana uelewa wetu ni tofauti.

Niulize swali, huo mkopo hata mteja wa huku Masulupwete na nikihitaji kujenge huku huku naweza kuomba?

Riba ni kiasi gani na mkopo unakuwa wa kipindi gani mpk nikamilishe kulipa?
 
NMB Tanzania, mnapoamua kuhudumia wateja wenu mtandaoni msiwe mnakimbia maswali. Pia tumieni lugha rafiki, sio kukopi na kupaste majibu ya kikristo kwenye pc zenu. Pia muwe active kidogo. Uvumilivu ni msingi mkubwa maana uelewa wetu ni tofauti.

Niulize swali, huo mkopo hata mteja wa huku Masulupwete na nikihitaji kujenge huku huku naweza kuomba?

Riba ni kiasi gani na mkopo unakuwa wa kipindi gani mpk nikamilishe kulipa?

Asante sana Jumong kwa ushauri wako,

Mkopo unapatikana popote ulipo, kinachotakiwa ni wewe kuja kuonana na wataalamu wetu wa mikopo na watakushauri pia kukufanikishia. Pia kuna kikokotozi kupitia tovuti yetu LINK kitakacho kurahisishia kujua riba, marejesho na kiasi cha kuchukua. Bofya Loan Calculator - NMB Bank Plc. kukokotoa mkopo wako

Karibu sana
 
Hello,

Tuna mikopo ya aina tatu, kununua nyumba, kumalizia, na kuchukulia mkopo ( Nyumba unaiweka rehani )

Karibu sana
Nilimuuliza huyo member hapo juu anahitaji mkopo wa aina gani? Nashukuru mmeliweka sawa hili.. Equity release/Refinancing/mkopo wa hisa za nyumba-nadhani ndio term stahiki kuliko kutumia neno "kuchukulia mkopo".
 
Kwenu NMBTz... Kwa makadirio inachukua muda gani kama kila kitu kipo sawa kupata huo mkopo wa nyumba?
Pili, loan to value ratio yenu ipoje?
Tatu, vipi gharama za awali za mkopo?
Ni hayo kwasasa.
 
Nilimuuliza huyo member hapo juu anahitaji mkopo wa aina gani? Nashukuru mmeliweka sawa hili.. Equity release/Refinancing/mkopo wa hisa za nyumba-nadhani ndio term stahiki kuliko kutumia neno "kuchukulia mkopo".

Asante kwa ufafanuzi
 
Asante sana Jumong kwa ushauri wako,

Mkopo unapatikana popote ulipo, kinachotakiwa ni wewe kuja kuonana na wataalamu wetu wa mikopo na watakushauri pia kukufanikishia. Pia kuna kikokotozi kupitia tovuti yetu LINK kitakacho kurahisishia kujua riba, marejesho na kiasi cha kuchukua. Bofya Loan Calculator - NMB Bank Plc. kukokotoa mkopo wako

Karibu sana
I am humbled!
 
Kiswahili tafadhali
Hello Munchamuja

Haya ni baadhi ya masharti.

  • Copy of your 3 current pay slip/ proof of income –
  • Proof of identification – ID of Borrowers – in case of Individual
  • Certified copies of 3 months personal bank statements (if new client)
  • A letter of reference from your employer that the will channel of salary/ income
  • Employment contract letter and application has any pending loan
  • Certified copy of title Deed (to facilitate property valuation)
Karibu sana.
 
Wakazi wa Idodomya! mko tayari?

Karibuni kwenye #NMBNyumbaDay tarehe 19 na 20 sept 2018 itakayofanyika katika viwanja vya tawi letu la Kambarage lililopo katika jengo jipya la PSPF ili ujifunze mengi zaidi kuhusiana na mikopo ya nyumba kutoka kwetu na washirika wetu.

Endapo una swali lolote kuhusu mikopo ya nyumba, karibu tukuhudumie kupitia ukurasa huu. #NMBMortgage #NMBKaribuYako

View attachment 870252
Mnatoa mikopo mpaka kiasi gani kwa ajili ya ujenzi wa nyumba
 
Kwenu nmb,nikihatiji mkopo kwa dhamana ya nyumba isiyo na hati inawezekana??
 
Mnapoamua kutangaza bidhaa zenu kuweni makini sana na sura/muonekano wa watu mnaowatumia kutangaza kwenye mabango yenu.
Picha zenu nyingi zina watu wenye muonekano ule wa Afrika Magharibi, mnaweza mkaona hiki ni kitu kidoga lakini kina mantika kubwa sana kibiashaara.
 
Kwenu NMBTz...
Kwa makadirio inachukua muda gani kama kila kitu kipo sawa kupata huo mkopo wa nyumba? - mpaka siku 14 kuwa tayari
Pili, loan to value ratio yenu ipoje? - 50%
Tatu, vipi gharama za awali za mkopo? - kama ni kununua nyumba itakua 10% ya gharama za nyumba, pia utalipia gharama za 'registered valuator for haouse valuation'
Ni hayo kwasasa - pia tupigie kupitia 0800 002 002 tukupe msaada zaidi.

Karibu sana 4G
 
Back
Top Bottom