NMB Nyumba Day Event - Dodoma

NMB Nyumba Day Event - Dodoma

Mnapoamua kutangaza bidhaa zenu kuweni makini sana na sura/muonekano wa watu mnaowatumia kutangaza kwenye mabango yenu.
Picha zenu nyingi zina watu wenye muonekano ule wa Afrika Magharibi, mnaweza mkaona hiki ni kitu kidoga lakini kina mantika kubwa sana kibiashaara.

Asante kwa ushauri wako ndugu Jacob na tutaufanyia kazi,
Karibu upate mkopo wa Nyumba
 
Nyie NMB acheni uzushi,wafanyakazi wenu tu mnawanyima mikopo ya Nyumba! Mnazidiwa na Benki ya Crdb! Anzeni na wafanyakazi wenu tuone kama sisi Walimu tutaweza kukopa. Au mikopo ya matajiri?
 
Nyumba yangu inahitaji kama m12 tu kukamilika ,ntapataje mkopohuo
 
Hello Munchamuja

Haya ni baadhi ya masharti.

  • Copy of your 3 current pay slip/ proof of income –
  • Proof of identification – ID of Borrowers – in case of Individual
  • Certified copies of 3 months personal bank statements (if new client)
  • A letter of reference from your employer that the will channel of salary/ income
  • Employment contract letter and application has any pending loan
  • Certified copy of title Deed (to facilitate property valuation)
Karibu sana.
Asante sana
 
Mbona nimeingia kwenye hiyo Loan calculator yenu nimejaza kila kitu lkn kila nikituma hiyo message inanitaka nirudie nimerudia zaidi na zaidi hadi nimechoka
 
Mbona nimeingia kwenye hiyo Loan calculator yenu nimejaza kila kitu lkn kila nikituma hiyo message inanitaka nirudie nimerudia zaidi na zaidi hadi nimechoka

Ukijaza kila kitu ukabofya calculate taarifa za majibu ya ulichojaza yanakuja upande wa kulia ( kwa PC ) au kwa chini kama unatumia simu.
Karibu sana
 
MTU mwenye mshahara au kipato cha marejesho ya shingap kwa mwez ndio anaweza kupata mkopo wa nyumba kama hyo
 
Wakazi wa Idodomya! mko tayari?

Karibuni kwenye #NMBNyumbaDay tarehe 19 na 20 sept 2018 itakayofanyika katika viwanja vya tawi letu la Kambarage lililopo katika jengo jipya la PSPF ili ujifunze mengi zaidi kuhusiana na mikopo ya nyumba kutoka kwetu na washirika wetu.

Endapo una swali lolote kuhusu mikopo ya nyumba, karibu tukuhudumie kupitia ukurasa huu. #NMBMortgage #NMBKaribuYako

View attachment 870252
Sory....mtaweka wadada wenye matako makubwa?
 
Tunafanyaje wengine ambao tutakuwa kwenye kuwajibika na tukakosa wasaa wa kufika huko
 
Asante sana Jumong kwa ushauri wako,

Mkopo unapatikana popote ulipo, kinachotakiwa ni wewe kuja kuonana na wataalamu wetu wa mikopo na watakushauri pia kukufanikishia. Pia kuna kikokotozi kupitia tovuti yetu LINK kitakacho kurahisishia kujua riba, marejesho na kiasi cha kuchukua. Bofya Loan Calculator - NMB Bank Plc. kukokotoa mkopo wako

Karibu sana
Acheni uongo nyie NMB


Nilikuja kwenye Bank yenu tawi la Sinza-Mori mkanijibu hamtoi mkopo kwa collateral ya office au kwasababu mliniona sina hadhi ya kukopa

Nashangaa hapa mnakuja na vigezo vya salary slip, huu ni utani . Halafu nashangaa zaidi unasema tufike ofisini kwenu kuonana na wataalamu. Wataalamu gani ? Wale walionijibu kuwa hakuna mkopo Wa aina hiyo au wapo wengine.



Niseme tu Hakikisheni mnakuwa na majibu uniform sio wale Wa NMB sinza Mori wanajibujibu tu.
 
Acheni uongo nyie NMB


Nilikuja kwenye Bank yenu tawi la Sinza-Mori mkanijibu hamtoi mkopo kwa collateral ya office au kwasababu mliniona sina hadhi ya kukopa

Nashangaa hapa mnakuja na vigezo vya salary slip, huu ni utani . Halafu nashangaa zaidi unasema tufike ofisini kwenu kuonana na wataalamu. Wataalamu gani ? Wale walionijibu kuwa hakuna mkopo Wa aina hiyo au wapo wengine.



Niseme tu Hakikisheni mnakuwa na majibu uniform sio wale Wa NMB sinza Mori wanajibujibu tu.
Mkuu, wewe uliomba mkopo gani exactly maana unaweza kukuta unalaumu kumbe hamkuelewana tu na afisa mikopo
 
Yoote mazuri sana mliyotufanyia ila funga kazi tu ni saraly advance bigup sana nmb
 
Back
Top Bottom