Mopao 1850
Member
- Mar 11, 2020
- 42
- 21
watu wataanza kuogopa kufungua e-mail
Uongo huu watu tumesign CV lakini bado bila bila..dah!cv lazima isainiwe mkuu page ya mwisho baada ya declaration statement, ebu angalia mfano huo hapo zamani nmb walivyokua wanataka cv iwesigned.... hiyo nimekuchukulia ya zamani hili uelewa, lakini siku hizi hawafafanui wanajua kila mtu anaelewa kama anatakiwa kusign cv baada ya declaration statement. we jiulize mtu ana upper second tena ya BAF lakini hawajamchukua.. wanaangalia vigezo hivyo vidogovidogo... tena sio nmb tu unavyoapply kazi sehemu yoyote kumbuka kusign cv.
😂Jamani vijana kalimeni matunda na mboga mboga Mfano someni hapa
Nufaika Na Kilimo Bora Cha Matango - MUUNGWANA BLOG
kwa zile kazi jinsi zilivo nyingi hazikuhitaji kusumbuana mpaka written, vigezo vinavotumika kupunguza watu kwenye nafasi kama hizo na wingi wa waombaji, huangalia CV, Na maelekezo kama ulifata sahihi wakati wa kuomba,.. wengi huchemka kwenye sehemu ya "Why do you think you fit for this position..? hapa wengi huzingua na wao hutumia kama kigezo, waombaji ni wengi, Talent Acquisition team nayo iko makini,hivi ni criteria gani zimetumika kukata watu bila hata test jamani
Jamani kwani wameshajibu? Naona umeandika kana kwamba tayari, ila hii mada ni ya miaka ya nyuma.kwa zile kazi jinsi zilivo nyingi hazikuhitaji kusumbuana mpaka written, vigezo vinavotumika kupunguza watu kwenye nafasi kama hizo na wingi wa waombaji, huangalia CV, Na maelekezo kama ulifata sahihi wakati wa kuomba,.. wengi huchemka kwenye sehemu ya "Why do you think you fit for this position..? hapa wengi huzingua na wao hutumia kama kigezo, waombaji ni wengi, Talent Acquisition team nayo iko makini,
Kila la heri, pia kwa waliotumiwa Email wasikate tamaa
sawa, nimeona ni ya muda nikajua ni ya hizi zilizotoka majuzijuziJamani kwani wameshajibu? Naona umeandika kana kwamba tayari, ila hii mada ni ya miaka ya nyuma.
Yeah well said Mkuu...That is a good practice. It bring a closure- A form of psychological relief by knowing that a certain matter has been concluded. It gives a chance to move on.
Mzee wakirudisha mrejesho uni pm au unitag tafadhalisawa, nimeona ni ya muda nikajua ni ya hizi zilizotoka majuzijuzi
Hakuna shida, but matarajio kuanzia tar20 April
Aisee mbona mbali sanaHakuna shida, but matarajio kuanzia tar20 April
sio mbali, subira yavuta heri
Yeyote kutoka southern zone aliyepata email ajulishe hapa... maana nina ndugu hapa roho haikai kabisaa..
l
leo wametumiwa email walio apply tarehe 31 july na tarehe 1 august.... wale walio aply kuanzia tareh 2augst hadi tar 11 augst tuendelee kusubir email zipo njiani.😁