miss naire
JF-Expert Member
- Oct 31, 2016
- 237
- 228
jana nilipokea email kutoka Nmb kwa zile kazi walizo tangaza kwa zones,vip kwa wengine maana naona mchujo wameufanya kama hujapita wanakutumia email kuwa asante kwa kusubiri ila hatuta endelea na wewe