NMB, CRDB kwanini wasifungue dirisha maalum lisilo na riba?

NMB, CRDB kwanini wasifungue dirisha maalum lisilo na riba?

Babumawe

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2014
Posts
2,585
Reaction score
2,666
Hii inatokana na kwamba kuna watu wanakwazika na mambo ya riba kwani kwenye baadhi ya maandiko yanakataza ishu zinazohusiana na riba na ni dhambi kubwa.

Ili kuepukana na masononeko ya watu, NMB na CRDB kwakuwa nyie ndio benki pendwa hapa nchini, inawapasa mfungue dirisha maalumu kuepukana na hadhia hii.

Kampuni na taasisi nyingi zinalazimisha mtu kumuingizia mshahara wake kwenye benki zenu, so ili kutenda haki kwa wote, basi yapaswa kufungua dirisha lingine ambalo halina riba kwani riba ni bidaa.
 
Me naona NMB NA CRDB wangefungua account moja tu ingependeza
 
Hii inatokana na kwamba kuna watu wanakwazika na mambo ya riba kwani kwenye baadhi ya maandiko yanakataza ishu zinazohusiana na riba na ni dhambi kubwa.

Ili kuepukana na masononeko ya watu, NMB na CRDB kwakuwa nyie ndio benki pendwa hapa nchini, inawapasa mfungue dirisha maalumu kuepukana na hadhia hii.

Kampuni na taasisi nyingi zinalazimisha mtu kumuingizia mshahara wake kwenye benki zenu, so ili kutenda haki kwa wote, basi yapaswa kufungua dirisha lingine ambalo halina riba kwani riba ni bidaa.
There is no such thing as bila riba duniani.

Hakuna kitu duniani utakipata bila riba. Hakuna.

Sana sana unatafuta faraja isiyokuwepo.
Gharama za riba ni riba tu hata zikiitwa faida, cha juu, gharama za uendeshaji or whatever,

Ni sawa na pesa.

Itaitwa Ada, Nauli, Rambi rambi, sadaka or whatever ila itabaki kuwa hela tu.

Kubaliana na ukweli uwe huru.
 
Nenda Amaba Bank au TPZ huko ndo hakuna riba unayoiina kwa macho ipo riba indirect

Utakuta jitu ni lizinzi af linakataa kukopa kwa riba eti ni dhambi lakini Lina.tomba tuu mtaaa ila ikija kukopa linasema dini hairuhusu
 
Nenda Amaba Bank au TPZ huko ndo hakuna riba unayoiina kwa macho ipo riba indirect

Utakuta jitu ni lizinzi af linakataa kukopa kwa riba eti ni dhambi lakini Lina.tomba tuu mtaaa ila ikija kukopa linasema dini hairuhusu

Kuna mtu ni mwizi balaaa hela za ofsini, lakini mikopo ya riba anasema dhambi. Daaaah namwangaliaga tu naona huyu hajui alifanyalo
 
Hii inatokana na kwamba kuna watu wanakwazika na mambo ya riba kwani kwenye baadhi ya maandiko yanakataza ishu zinazohusiana na riba na ni dhambi kubwa.
Wao watanufaika nini na kuku mkopo usio na riba? Wafanyakazi wao na watalipwa mbinguni au hapa hapa? Watu walioweka hela na kutegemea interest zitajijaza zenyew?

Ndo unaambia hata huko ambako hakuna riba kuna hzo indirect riba ambazo unazilipa ili bank ijiendeshe. Kama hao wasio na riba unadhani kwanini hazijapendwa zaidi kuliko bank zenye riba?
 
Nenda benki zisizo na riba, zipo zenye hiyo package NBC, Stanbic, Amana e.t.c siyo lazima kila package iwepo CRDB na NMB.

Everyday is Saturday................................😎
 
Nenda Amaba Bank au TPZ huko ndo hakuna riba unayoiina kwa macho ipo riba indirect

Utakuta jitu ni lizinzi af linakataa kukopa kwa riba eti ni dhambi lakini Lina.tomba tuu mtaaa ila ikija kukopa linasema dini hairuhusu
PBZ wana riba 12%
 
Hii inatokana na kwamba kuna watu wanakwazika na mambo ya riba kwani kwenye baadhi ya maandiko yanakataza ishu zinazohusiana na riba na ni dhambi kubwa.

Ili kuepukana na masononeko ya watu, NMB na CRDB kwakuwa nyie ndio benki pendwa hapa nchini, inawapasa mfungue dirisha maalumu kuepukana na hadhia hii.

Kampuni na taasisi nyingi zinalazimisha mtu kumuingizia mshahara wake kwenye benki zenu, so ili kutenda haki kwa wote, basi yapaswa kufungua dirisha lingine ambalo halina riba kwani riba ni bidaa.
Mishahara watalipaje?
Hela ya pango watalipaje?
Umeme, internet, ulinzi watalipaje?
Mdaiwa akifa au akikimbia nani atafidia hasara?
NAOMBA NIKOPESHE MILIONI 10 NIKULIPE HIYO HIYO MILIONI 10 KWA MIAKA 5.
 
There is no such thing as bila riba duniani.

Hakuna kitu duniani utakipata bila riba. Hakuna.

Sana sana unatafuta faraja isiyokuwepo.
Gharama za riba ni riba tu hata zikiitwa faida, cha juu, gharama za uendeshaji or whatever,

Ni sawa na pesa.

Itaitwa Ada, Nauli, Rambi rambi, sadaka or whatever ila itabaki kuwa hela tu.

Kubaliana na ukweli uwe huru.
Bidaa
 
N
Nenda benki zisizo na riba, zipo zenye hiyo package NBC, Stanbic, Amana e.t.c siyo lazima kila package iwepo CRDB na NMB.

Everyday is Saturday................................😎
Nakununulia IST kwa milioni 10 nakuuzia kwa milioni 14 hiyo wenyewe wanaita faida ila ni riba kwa namna nyingine.
Ndio wanachokifanya
 
Back
Top Bottom