Njooni hapa mliowahi kulipwa fidia baada ya ajali

Mkuu umenikumbusha jambo la muhimu mno, last week tumezika bint yetu ambaye alipata ajali maeneo ya nanenane dom, lakini hatukufikria chochote kutokana na mstuko wa ule msiba, ngoja tuanze kufuatilia tuone.
Mnafatilia nn mtu kashakufa? Mkipata hyo hela mnaifanyia nn? Kaacha watoto? Au mnataka kujengea kaburi lake?
Kama hajaacha watoto au waliokua wanamtegemea achana na kesi mkuu.!
 
Mnafatilia nn mtu kashakufa? Mkipata hyo hela mnaifanyia nn? Kaacha watoto? Au mnataka kujengea kaburi lake?
Kama hajaacha watoto au waliokua wanamtegemea achana na kesi mkuu.!
Aisee shirima? in (chaggas voice) huyu kaacha watoto, wazazi, wategemezi wengine pamoja na madeni, vipi tuacheeee?, hata hivyo hata kama hayo yote hayapo tambua hili jambo lipo kisheria, kama sheria inatupa hiyo nafasi ni lazima tuitumie, huyu ni ndugu yetu wala hakuna ubaya kula pesa itokanayo na kifo chake.
Shirima kufaaa..........kufaaana meku.
 
Aisee shirima? in (chaggas voice) huyu kaacha watoto, wazazi, wategemezi wengine pamoja na madeni, vipi tuacheeee?, hata hivyo hata kama hayo yote hayapo tambua hili jambo lipo kisheria, kama sheria inatupa hiyo nafasi ni lazima tuitumie, huyu ni ndugu yetu wala hakuna ubaya kula pesa itokanayo na kifo chake.
Shirima kufaaa..........kufaaana meku.
Sawa kaka nimekuelewa Sana ndugu Yangu ..!
 
Pole sana mkuu, sijui sijasoma vizuri au nimepitiwa lakini sijaona ulipata ajali ya aina gani, ulikua unaendesha pikipiki, ulipakiwa, ulikua kwenye basi, gari binafsi au umeumia katika mazingira gani? Ni kazini au kwenye mambo binafsi?

Bima unayoiongelea hapa ni ya chombo ulichopanda au ya kazini? Ukitoa hizo taarifa, zinnaweza kusaidia kupata msaada wa maelekezo vizuri. Ahsante
Ajali ya bus mbili ziligongana mim nilikuwa abilia , nilikuwa naenda dodoma kwenye mambo binafsi .
 
Hifadhi risiti za matibabu na gharama nyingine zote bila kusahau tiketi uliyokata siku ajali ilipotokea. Hakikisha vyote vina majina yako halisi.

Nenda kaidai kampuni ya Bima ya bus ulilopata nalo ajali. Watakulipa.
Kama basi halina bina je?
 
Back
Top Bottom