Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,440
Mnafatilia nn mtu kashakufa? Mkipata hyo hela mnaifanyia nn? Kaacha watoto? Au mnataka kujengea kaburi lake?Mkuu umenikumbusha jambo la muhimu mno, last week tumezika bint yetu ambaye alipata ajali maeneo ya nanenane dom, lakini hatukufikria chochote kutokana na mstuko wa ule msiba, ngoja tuanze kufuatilia tuone.
Kama hajaacha watoto au waliokua wanamtegemea achana na kesi mkuu.!