noel oga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2015
- 264
- 206
KARIBUNI MANYONI TUWEKEZE MANYONI ,MANYONI KUMEKUCHA IDADI YA WATU INAONGEZEKA KWA KASI YA AJABU PESA HAPA ZIPO KILIMO CHA KOROSHO KIMENOGA MAZAO NI MENGI YANAYOSISIMUA UCHUMI WA WILAYA HII, WILAYA YA MANYONI IMEZUNGUKWA NA VIJIJI VINGI VINAVYOITEGEMEA HII MANYONI ,WAGENI WANAHAMIA KWA KASI NA KUWEKEZA KWA KASI HATUJUI WANATOKEA WAPI KARIBUNI MANYONI BADO HUJACHELEWA FANYA KUWAHI BAADAYE MSIJE KUJUTA
hapa chini nina kiwanja kikubwa sana ndugu zanguni na kinauzwa kwa bei ya kutupwa
sifa zake
*kipo Hatua kumi kutoka barabarani Dodoma Mwanza road opposite na jengo la tanesco manyoni
*kina meter square 1445
*kina msingi wa fensi kuzunguka eneo lote
*kina msingi wa nyumba ya vyumba vinne ndani
*kina mawe trip 9
*nguzo ya umeme ipo hapohapo
*maji yapo karibu
*kina mchanga trip 2 na nusu
*kimepimwa
*ramani za majengo zipo
documaa zote zipo na kiwanja hiki kimefata taratibu zote za kisheria hivyo ondoa shaka
KAZI KWENU BEI NI 15mil maongez yapo kwa mteja serious.
piga namba hizi 0766205600 umiliki eneo lako
hapa chini nina kiwanja kikubwa sana ndugu zanguni na kinauzwa kwa bei ya kutupwa
sifa zake
*kipo Hatua kumi kutoka barabarani Dodoma Mwanza road opposite na jengo la tanesco manyoni
*kina meter square 1445
*kina msingi wa fensi kuzunguka eneo lote
*kina msingi wa nyumba ya vyumba vinne ndani
*kina mawe trip 9
*nguzo ya umeme ipo hapohapo
*maji yapo karibu
*kina mchanga trip 2 na nusu
*kimepimwa
*ramani za majengo zipo
documaa zote zipo na kiwanja hiki kimefata taratibu zote za kisheria hivyo ondoa shaka
KAZI KWENU BEI NI 15mil maongez yapo kwa mteja serious.
piga namba hizi 0766205600 umiliki eneo lako