The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
Alilipa shilingi ngapi kwa mganga?
Unaweza kukuta hiyo simu ni huawei ascend y320 na halafu mganga amemuomba apeleke mbuzi mzima, kuku, mchele kilo tano, mkaa, pesa ya kiingilio jumlisha pesa ya kazi, nauli(unaweza kuta wanaishi mbali sana kwa kila mmoja), ongeza na hasara ya muda alioutumia kufuatilia hilo suala utaona ni zaidi ya gharama ya simu ilimfanya aende kwa sangoma.